Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
Naombeni msaada nina tatizo la mguu upande wa kushoto kwenye kisigino kuna maumivu makali sana hadi kukanyaga nashindwa hali imenianza toka juzi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hamna imenianza toka majuziJe Kuna sign yoyote ya colour changes?
Tinea pedis
Sijakuelewauric acid...
Sijafika bado mkuu ndo maana naombeni ushauri wenuHospital wamesemaje?
😳wee,sema kweli? Hujaenda hospital umekuja huku jf kwanza?Sijafika bado mkuu ndo maana naombeni ushauri wenu
pima uric aidSijakuelewa
Wanawake mnapenda sana hospitali sijui kwa nini?😳wee,sema kweli? Hujaenda hospital umekuja huku jf kwanza?
Anha,sawasawa Mkuu.... Ngoja jf imtibuWanawake mnapenda sana hospitali sijui kwa nini?
Sijapata maokoto bado nikipata ntaenda now napaka dawa ya kuchuwa😭🤣😳wee,sema kweli? Hujaenda hospital umekuja huku jf kwanza?
Jf imebarikiwa kuwa na madokta kama mwanetu DR SANTOSAnha,sawasawa Mkuu.... Ngoja jf imtibu
Mkuu naweza nikawa na shida ganiMimi natibu hata Mtaani huduma ni free delivery😅
Review comment no 1Mkuu naweza nikawa na shida gani
Oyaaa 🤣Mimi natibu hata Mtaani huduma ni free delivery😅
Ok napata maumivu makali sanaReview comment no 1
Kwa wanawake tuOyaaa 🤣
Sio poa unafanya hadi free delivery!