DR SANTOS
JF-Expert Member
- Mar 11, 2019
- 12,846
- 28,106
Poa tafuta allopurinol tabs
Neurobin/nat b
Prednisolone.
Neurobin/nat b
Prednisolone.
Ok napata maumivu makali sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ok napata maumivu makali sana
DR SANTOSNaombeni msaada nina tatizo la mguu upande wa kushoto kwenye kisigino kuna maumivu makali sana hadi kukanyaga nashindwa hali imenianza toka juzi
View attachment 2786393
Hapana nilienda hospital nikachoma sindano za kisigino na nikapewa dawa ya kuchua nikapona hadi Leo nimeponaDR SANTOS
Dawa aliyokuelekeza dokta santos vp zimekutibu?
Hosp ipo dar? Nipe jina la hospital kaka. Na ulitumia sh ngap? Mm pia naumwa sana mateso bila chuki.Hapana nilienda hospital nikachoma sindano za kisigino na nikapewa dawa ya kuchua nikapona hadi Leo nimepona
Nilienda hospital ya zahanati ya Kijiji nikaandikiwa sindano na dawa ya kuchua kaka gharama nilitumia buku teni tu au kama vipi unaona jau pitia duka la dawa Nunua dawa ya kuchua paka asubuhi na jioni alafu uwe unafanya mazoezi ya kuchezesha vidole na kuchezesha miguu kushoto na kulia utapona tuHosp ipo dar? Nipe jina la hospital kaka. Na ulitumia sh ngap? Mm pia naumwa sana mateso bila chuki.
Sawa. Sindano yaitwaje?Nilienda hospital ya zahanati ya Kijiji nikaandikiwa sindano na dawa ya kuchua kaka gharama nilitumia buku teni tu au kama vipi unaona jau pitia duka la dawa Nunua dawa ya kuchua paka asubuhi na jioni alafu uwe unafanya mazoezi ya kuchezesha vidole na kuchezesha miguu kushoto na kulia utapona tu
Nimesahau kaka ila ungeenda ungepona kaka tatizo Hilo ukitibiwa kupona wiki tu tatizo linaishaSawa. Sindano yaitwaje?
Maana mi tatizo la miaka.
Kuna mdau kanambia nisithubutu sindano. Ndugu yake alikatazwa na madaktari wakamuambia unakaa sawa kipindi kifupi kama miezi 3-6 kisha maumivu yanarudi maradufu. Ikirudi hiivyo suluhu wanqsema ni surgeryNimesahau kaka ila ungeenda ungepona kaka tatizo Hilo ukitibiwa kupona wiki tu tatizo linaisha
Hamna kaka ni maneno ya mitaani tu mbona mie nipo sawa na hadi nakimbia sina maumivu TenaKuna mdau kanambia nisithubutu sindano. Ndugu yake alikatazwa na madaktari wakamuambia unakaa sawa kipindi kifupi kama miezi 3-6 kisha maumivu yanarudi maradufu. Ikirudi hiivyo suluhu wanqsema ni surgery
Uwe unakanda na barafu ukimaliza paka dawa ya kuchuaKuna mdau kanambia nisithubutu sindano. Ndugu yake alikatazwa na madaktari wakamuambia unakaa sawa kipindi kifupi kama miezi 3-6 kisha maumivu yanarudi maradufu. Ikirudi hiivyo suluhu wanqsema ni surgery
Nenda pale Burhani hospital kuna daktari mmoja jina sijui atakitibu utapona anadawa zake. Ama kanunue chumvi ya mawe chemsha halafu kanyagia huo mguu. Najua hayo maumivu.Naombeni msaada nina tatizo la mguu upande wa kushoto kwenye kisigino kuna maumivu makali sana hadi kukanyaga nashindwa hali imenianza toka juzi
View attachment 2786393