ahaaaa ujue wabongo wanatukuza sana tiba za wazungu ila ona The Boss keshaenda hosptal zote na hajapona. wazee wetu walikuwa the best bwana sema mzungu tu kateka watu akili wanunue madawa yao uchumi wao upande .wao wapo kibusinessKutoboa unyayo kwa sindano za moto? Hao watu wa kijijini kwenu kama siyo wachawi watukuwa mumiani!
hapa hapa kwa boss wa ippkijiji chenu wapi huko?
mguu kuuma kwenywe unyayo ni ishara ya kwamba utapata safari ya mbali
Hahaha. Nyani Ngabu unanipakazia bana mpaka boss anamjua JazzyNitamtafuta Boflo anioneshe jasmine alipo
ndio anifanyie massage lol
Mkuu.@The Boss Pole sana kwa kuumwa na mguu wako tafuta mama aliye zaa watoto wawili mapacha akuchuwe huo mguu wako na mafuta ya karafuu yaliyochanganywa na mafuta ya nazi kwa muda wa siku 3 utapona inshallah. Au tafuta mtoto aliyezaliwa mapacha akiwa ni wa kiume au wa kike akupige masaji kwa muda wa siku 3 asubuhi na jioni atumie hayo mafuta niliyokueleza hapo juu utupona kisha nipe feedback.
mguu kuuma kwenywe unyayo ni ishara ya kwamba utapata safari ya mbali