Mguuuuuuu................

Mguuuuuuu................

Kutoboa unyayo kwa sindano za moto? Hao watu wa kijijini kwenu kama siyo wachawi watukuwa mumiani!
ahaaaa ujue wabongo wanatukuza sana tiba za wazungu ila ona The Boss keshaenda hosptal zote na hajapona. wazee wetu walikuwa the best bwana sema mzungu tu kateka watu akili wanunue madawa yao uchumi wao upande .wao wapo kibusiness
 
Last edited by a moderator:
Fanya reflexology itakusaidia sana.... Na vp kuhusu weight yako iko sawa?
ninaweza kukupa dawa herbal from india za kupunguza uzito from shamshu pharmacy
 
Mkuu.@The Boss Pole sana kwa kuumwa na mguu wako tafuta mama aliye zaa watoto wawili mapacha akuchuwe huo mguu wako na mafuta ya karafuu yaliyochanganywa na mafuta ya nazi kwa muda wa siku 3 utapona inshallah. Au tafuta mtoto aliyezaliwa mapacha akiwa ni wa kiume au wa kike akupige masaji kwa muda wa siku 3 asubuhi na jioni atumie hayo mafuta niliyokueleza hapo juu utupona kisha nipe feedback.
 
Nenda SNS kliniki wana dawa nzuri sana za asili na wanakupa baada ya kukupima kitaalamu. Hizi kliniki ziko sehemu mbalimbali hapa Dar na wanajitangaza radio WAPO. Kule Mbezi beach wana kliniki tatu karibu na Tangi Bovu.
 
pole sana...ukipata watu wakikufanyia maombi itasaidia pia.
 
Pole. Angalia na uzito, jitahidi ule mlo mmoja, soda acha, sukari na nyama nyekundu upunguze sana.
 
Mkuu.@The Boss Pole sana kwa kuumwa na mguu wako tafuta mama aliye zaa watoto wawili mapacha akuchuwe huo mguu wako na mafuta ya karafuu yaliyochanganywa na mafuta ya nazi kwa muda wa siku 3 utapona inshallah. Au tafuta mtoto aliyezaliwa mapacha akiwa ni wa kiume au wa kike akupige masaji kwa muda wa siku 3 asubuhi na jioni atumie hayo mafuta niliyokueleza hapo juu utupona kisha nipe feedback.


:confused3::confused3::confused3::confused3::confused3::confused3::confused3::confused3::confused3::confused3:
 
the boss naomba fanya hiki kitu kwanza chukua ndoo au dish weka maji ya baridi na loweka miguu yako humo kabla ya kulala kwa muda usio pungu nusu saa ankuendelea. hakika ninaimani utapata nafuu sio muda mrefu
 
Mara nyingi kuumwa kwa hivyo ni matokeo tu ila kunakuwa na shida na mgongo. Nenda kwa neurologist
 
Dr. MziziMkavu??

Kwani uponyaji unahusiana vipi na mapacha.... Ufafanuzi tafadhali.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom