Diva Beyonce
JF-Expert Member
- Mar 6, 2014
- 12,913
- 11,271
Duh! Naona maradhi ya rangi yanamtesa mtu hapa......hakuna lolote la zaidi!
Aaah hicho kitu ni matataaa... Hivi hana watoto mabinti kweli??
Kwa kiasi ni mzuri ila sio kivilee
Uwafate au.....
Sidhani kama nihalali kwa mtu kumzungumzia mke wa mtu kwa aina hii ya mleta Post.
Uwafate au.....
Huyu dada c mchezo ati!!! ohoooo!!! me nimemwona kwa jirani hivi hatariii
Mama yetu huyu tuwe wakweli kaumbika kiukweli! Tumpe sifa zake, sura nzuri rangi pia iko angavu! Naamini kwenye Cabinet nzima yeye ni CUTE namba moja.
Jf mmh