Mh.Angela Kairuki ki ukweli Mungu kakujaalia

Huyu dada c mchezo ati!!! ohoooo!!! me nimemwona kwa jirani hivi hatariii
 
Embu mmoja aweke profile yake basi... Tujue ni kabila gani, ana watoto mabinti wangapi wana umri gani na yy anaishi wapi?
 
Sidhani kama nihalali kwa mtu kumzungumzia mke wa mtu kwa aina hii ya mleta Post.
 
Mama yetu huyu tuwe wakweli kaumbika kiukweli! Tumpe sifa zake, sura nzuri rangi pia iko angavu! Naamini kwenye Cabinet nzima yeye ni CUTE namba moja.

Hapana bana wa kawaida sana bana tena ana umbo namba tisa la simba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…