Mh.Angela Kairuki ki ukweli Mungu kakujaalia

Mh.Angela Kairuki ki ukweli Mungu kakujaalia

Huyu dada c mchezo ati!!! ohoooo!!! me nimemwona kwa jirani hivi hatariii
 
Sidhani kama nihalali kwa mtu kumzungumzia mke wa mtu kwa aina hii ya mleta Post.
 
Mama yetu huyu tuwe wakweli kaumbika kiukweli! Tumpe sifa zake, sura nzuri rangi pia iko angavu! Naamini kwenye Cabinet nzima yeye ni CUTE namba moja.

Hapana bana wa kawaida sana bana tena ana umbo namba tisa la simba
 
Back
Top Bottom