Tusker Bariiiidi
JF-Expert Member
- Jul 3, 2007
- 5,551
- 2,153
Toka jk achukue nchi hajawahi kuchaguwa waziri mtamu kama huyu angela
Mzee ana macho sana ni mtaalamu wa kupointi sana.
Astakhafurah!Kwa hili naweka siasa pembeni huyu naibu waziri wa katiba na sheria mh!Angela Kairuki ni matumaini yangu atakuwa anandoa yake na familia
Ila ingelikuwa sio hivyo ningetangaza ni kwa njia na gharama yoyote maana mh anarangi ya mtume ngozi nyororo kama asali yani ni mtamu hata machoni ki ukweli,nimemwona ITV moyo ukanipasuka Paaa...!
Dah!basi tena acha waliowahi wafaidi
Kwa hili naweka siasa pembeni huyu naibu waziri wa katiba na sheria mh!Angela Kairuki ni matumaini yangu atakuwa anandoa yake na familia
Ila ingelikuwa sio hivyo ningetangaza ni kwa njia na gharama yoyote maana mh anarangi ya mtume ngozi nyororo kama asali yani ni mtamu hata machoni ki ukweli,nimemwona ITV moyo ukanipasuka Paaa...!
Dah!basi tena acha waliowahi wafaidi
Muke ya Muhaya hiyooooooo
Embu mmoja aweke profile yake basi... Tujue ni kabila gani, ana watoto mabinti wangapi wana umri gani na yy anaishi wapi?
Kuna kitu kuhusu huyu mheshimiwa kinachomfanya awe na mvuto na personality (si umbo lakini maana naona shape hana)...nadhani ana sura ya upole na anaonekana si domo kaya...hasa ukimlinganisha na mawaziri wengine wengi wanawake tz.
Baba yake ni Salim A. Salim
Baba yake ni Salim A. Salim
Power begets power!!!!Ni Mhaya wa Katoma-Bukoba
Mke wa Balozi Mbelwa Kairuki
Wana watoto 2
Power begets power!!!!
Ati??!!
Sijaelewa! Salim A. Salim anahusika vp hapo?
Pia kuna yule Pindi Chana. miye hoooi hivi ana ndoa yule? msinilaumu napenda wenye sura innocent halafu wafupi!
kama mke wa slaa vile