Mh.Angela Kairuki ki ukweli Mungu kakujaalia


Sina uhakika kama kuna uhusiano wowote kati ya Megji na Salim ila huyu Mh. ameolewa kwenye familia ya marehem Profesa Kairuki(aliyekua mmiliki wa Hospitali na Chuo kikuu cha Kairuki). Kuna habari kua Salim A. Salim alikua na mtu wa karibu wa Marehemu Kairuki ndio maana akapewa ukuu wa chuo sidhani kama wana uhusiano wowote na Angela.
 
Kweli kila mtu ana ugonjwa wake, hapa mimi sioni kitu jamani, hamna! Labda kwa wale wagonjwa wa bodi, na wale jamaa zetu wakiona mwanamke mweupe tu ni mzuri tayari!
View attachment 171853

mkuu hapa inaonekana alikuwa hajapaka MAC studio fix ni make up tu ndo zinambadili mwonekano
otherwise KAMA WEUPE UNGEKUWA MALI UBUYU USINGETIWA RANGI
 
Mtoa mada umependa rangi ya gari?

Ikumbukwe kama weupe ungekuwa mali ubuyu usingetiwa rangi full stop
 

Hujui kuangalia wewe,mbona kwangu mimi naona Pindi Chana yupo vizuri kuliko huyu mama Kauruki? Du hivi yule Pindi Chana nae kaolewa jamani?Yule hakiyanani pamoja na huyu mama siwezi kuwachoka yaani hata ikiwa asubuhi mchana na jioni ntendesha tu mtarimbo bora kuwe na supu tu karibu
 
Hivi unaanzaje kuandika maneno haya kwa mwanamke ambaye kwa hakika kabisa unatambua ni mama wa watoto fulani?

Hivi mama yako mzazi naye tukimuanzishia mada kama hii huoni kuwa tutakuwa tunamdhalilisha yeye na wewe pia???

Tamaa zenu za ngono zinazochagizwa na mapepo ya zinaa zisiwafanye msahau utu na thamani ya mwanamke...


 
kaka yatakukuta ya akina babu seya unajua kapataje una naibu waziri wa kaitba na sheria
 
Hahahaaaa......tam mende!
 
Nadhani kwa sasa umeshajua IQ yake ipoje njoo utupe mrejesho tena.
 
Kila mwanaume ana macho yake jamani.................

NB:Kuna watu humu Jf hawapati usingizi kwa ajili ya Lady Jaydee atiiiiiiiiiii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…