Raia Fulani
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 11,478
- 3,659
Mungu ni fiction tupu, unawezaje kuthibitisha kwamba mungu yupo?
dhambi zote ni sawa mbele za mungu na zambi zote afanyazo mtu zipo nje ya mwili lakini azinie anafanya ndani ya mwili wake na azinie na mwanamke ana akili kabisa afanya jambo litakomwangamiza nafsi yake
....
Enyi wanazuoni, nini ukweli wa habari hii?...
fanya jambo moja. nenda jukwaa la dini na uweke ushahidi wako pale kwa mapana na marefu kwani hapa si pahala pake