Mh. Iddi Azan anafanya biashara gani?

Mh. Iddi Azan anafanya biashara gani?

Kwa hiyo mbunge halali tajiri anaongoza Ndesamburo.

Wakuu kwani si mtu anaweza kuwa na hela kwa kukopa?
 
Apart from Rostam nadhani the second richest mbunge Tanzania ni NDESAMBURO

Iddi Azan ana pesa za kubadilisha magari na maybe kusafiria Business Class and errm thats it!

asee gt.........ndesa ni noma babaaangu mi niliwahi kuwa na uhusiano na mmoja wa watoto wake kitambo huyu jamaa ana cash balaa wamuulize pinda juzi alichokiona mjini moshi kwenye kilimanjaro marathon hahahahahhaaaa
 
Kwa hiyo mbunge halali tajiri anaongoza Ndesamburo.

Wakuu kwani si mtu anaweza kuwa na hela kwa kukopa?
Ben kwani anakopa kwenda kufanyia mapenzi ama kuchezea pombe....,.hapa ni biashara yakukuza mtaji na kuingia kwenye biashara halali na kubwa kimataifa.
katika maisha ya kisasa ya biashara ni ngumu sana kufanya biashara za billions of money bila kukopa, na kama itathibitika kua unazungusha mtaji mkubwa kiasi cha billion hata moja bila kukopa utatiliwa mashaka kama si muuza Unga basi unasafisha ela chafu toka kwa magaidi...., na huenda nnchi kama marekani wanaweza kuban biashara zako.
 
Ben kwani anakopa kwenda kufanyia mapenzi ama kuchezea pombe....,.hapa ni biashara yakukuza mtaji na kuingia kwenye biashara halali na kubwa kimataifa.
katika maisha ya kisasa ya biashara ni ngumu sana kufanya biashara za billions of money bila kukopa, na kama itathibitika kua unazungusha mtaji mkubwa kiasi cha billion hata moja bila kukopa utatiliwa mashaka kama si muuza Unga basi unasafisha ela chafu toka kwa magaidi...., na huenda nnchi kama marekani wanaweza kuban biashara zako.

Mkuu pale Kariakoo kwenye yale maghorofa yanayoota kila siku kama uyoga hiyo pesa Wapemba wana bilioni kadhaa wanazizungusha kwenye biashara bila hata kukopa benki. Ni fiancial discipline tu mkuu......!!!
 
Ndesa anamzidi Nimrod Mkono kwa utajiri? I dought!
Masaki Nimrod anapesa pia, nabahati mbaya tunatumia hisia kwa kuangalia biashara ama mali zinazoonekana kwa macho.....
mzee Ndesa ni mfanya biashara mkubwa wa majumba ya kupangisha na mahotel hapa Afrika,
sasa je Nimrod Nkono anamiliki nini na anafanya biashara gani?
je Idd Azan anafanya biashara gani na anamiliki nini
 
ana magari gani huyo idd azan?? RR PHANTOM,MAYBACH,ENZO,ZONDA au ndio yaleyale akina RANGE ROVER,X5,Q7??

Tatizo hapa Bongo unakuta mtu anasifiwa kwamba ana pesa na ukiuliza chanzo chake cha mapato utaambiwa ni mfanyabiashara. Ukiuliza anafanya biashara gani na ofisi zake ziko wapi hakuna jibu. Sana sana utaambiwa tu hawa ndio watoto wa mjini wana dili zao kubwa kubwa!
 
Masaki Nimrod anapesa pia, nabahati mbaya tunatumia hisia kwa kuangalia biashara ama mali zinazoonekana kwa macho.....
mzee Ndesa ni mfanya biashara mkubwa wa majumba ya kupangisha na mahotel hapa Afrika,
sasa je Nimrod Nkono anamiliki nini na anafanya biashara gani?
je Idd Azan anafanya biashara gani na anamiliki nini

Nimrod Mkono ni Wakili wa kujitegemea na anamiliki kampuni kubwa kuliko zote za uwakili hapa Tanzania. Pia kampuni yake ina ubia na kampuni moja ya uwakili ya Uingereza kitu kinachomwongezea wigo wa kibiashara.

Pia Nimrod Mkono ni mmoja wa waanzilishi na wamiliki wa Bank M. Kuna wakati vyanzo visivyo rasmi sana vya habari viliwahi kubainisha kwamba ana NET WORTH ya USD 55m.

Unaweza kuniambia Ndesa anamiliki nyumba zipi/apartments/hotels zipi na kukadiria ukubwa wa biashara zake?
 
Mkuu pale Kariakoo kwenye yale maghorofa yanayoota kila siku kama uyoga hiyo pesa Wapemba wana bilioni kadhaa wanazizungusha kwenye biashara bila hata kukopa benki. Ni fiancial discipline tu mkuu......!!!
Masaki ni sahihi,
ukitaka kujua namna sisi tulivyo waajabu, mtu anaenjoy kuwa na akaunti yenye hata billion Tano bila kuifanyia biashara ama kuingiza kwenye masoko ya mitaji.
Ndo maana nnchi ilitikisika baada ya kuambiwa Chenge anakabilion kake huko west Indies,
Wenzetu utajiri wao haupo kwenye Cash zaidi, upo kwenye mitaji, na kila faida inayopatikana mtu anawaza kumaximize.
Hebu fikiria unaingia chumbani kwa rafikio unamkuta ana pesa cash million mia nane ama bilion moja, utastuka.
 
Ben kwani anakopa kwenda kufanyia mapenzi ama kuchezea pombe....,.hapa ni biashara yakukuza mtaji na kuingia kwenye biashara halali na kubwa kimataifa.
katika maisha ya kisasa ya biashara ni ngumu sana kufanya biashara za billions of money bila kukopa, na kama itathibitika kua unazungusha mtaji mkubwa kiasi cha billion hata moja bila kukopa utatiliwa mashaka kama si muuza Unga basi unasafisha ela chafu toka kwa magaidi...., na huenda nnchi kama marekani wanaweza kuban biashara zako.


Ndiyo maana watu wanafilisika mkuu

Si watu wote wajua kuwa na nidhamu ya hela ndo kitu nilichomaanisha
 
Masaki ni sahihi,
ukitaka kujua namna sisi tulivyo waajabu, mtu anaenjoy kuwa na akaunti yenye hata billion Tano bila kuifanyia biashara ama kuingiza kwenye masoko ya mitaji.
Ndo maana nnchi ilitikisika baada ya kuambiwa Chenge anakabilion kake huko west Indies,
Wenzetu utajiri wao haupo kwenye Cash zaidi, upo kwenye mitaji, na kila faida inayopatikana mtu anawaza kumaximize.
Hebu fikiria unaingia chumbani kwa rafikio unamkuta ana pesa cash million mia nane ama bilion moja, utastuka.

Nadhani tunaongelea kitu kimoja ila tunashindwa kuelewana. Ninachosema mimi ni kwamba mtu mwenye financial discipline ya hali ya juu ana uwezo wa kufanya biashara na kuzungusha pesa yake mwenyewe bila kukopa benki. Biashara nyingi huwa zinateteleka sana zinapokopa benki kwani viwango vya riba ni vikubwa sana!

Kuna waraka wa ukurasa mmoja tu ambao Warren Buffer alitoa mwaka jana wakati wa ''credit crunch''. Mojawapo ya jambo alilosisitiza sana ni kuepuka mikopo kadiri inavyowezekana!

Pale Kariakoo watu wanafanya kazi usiku na mchana na wanauza kwa jumla kwa watu wa Zambaia, DRC, Malawi, Burundi na Rwanda! Waliotuliza akili sasa hivi ni mabilionea na hawana mikopo benki!
 
Mojawapo ya raslimali za ndesa ninazojua ni kumiliki hoteli za Key's hotel hapa Tanzania na nje ya nchi

-kumiliki helcopta
 
Nadhani tunaongelea kitu kimoja ila tunashindwa kuelewana. Ninachosema mimi ni kwamba mtu mwenye financial discipline ya hali ya juu ana uwezo wa kufanya biashara na kuzungusha pesa yake mwenyewe bila kukopa benki. Biashara nyingi huwa zinateteleka sana zinapokopa benki kwani viwango vya riba ni vikubwa sana!

Kuna waraka wa ukurasa mmoja tu ambao Warren Buffer alitoa mwaka jana wakati wa ''credit crunch''. Mojawapo ya jambo alilosisitiza sana ni kuepuka mikopo kadiri inavyowezekana!

Pale Kariakoo watu wanafanya kazi usiku na mchana na wanauza kwa jumla kwa watu wa Zambaia, DRC, Malawi, Burundi na Rwanda! Waliotuliza akili sasa hivi ni mabilionea na hawana mikopo benki!
thats right Masaki.
umetoa elimu maridhawa, ila nionacho mie, nilazima uwe na uwezo wakutoa mchanganua wa wapi chanzo cha utajiri, wapi unatunzia pesa zako, na pia currents accounts zako zitathibitisha cash flow yako ilivyokubwa.
kwa wafanyabiashara kama Bakhresa.S.S , YEYE na kampuni zake Azam , makampuni ya Usagaji, usafirishaji,majumba nk anaweza kuwa na mtaji wa billion hata 1000, lakini akawa na akaunti yenye cash Billion 100, kwa ajili ya kurun zile operating cost, hivyo akijenga jengo la bilioni 20, huna cha kushangaa, lakini cash flow zina onyesha kwa mwaka unaingiza million 500, kisha unajenga jengo la 1Bn, kweli watakufunga .....tuache uchumi.
Je ni upi utajiri wa Idd Azan. anamiliki ninini hasa.?
 
Nimrod Mkono ni Wakili wa kujitegemea na anamiliki kampuni kubwa kuliko zote za uwakili hapa Tanzania. Pia kampuni yake ina ubia na kampuni moja ya uwakili ya Uingereza kitu kinachomwongezea wigo wa kibiashara.

Pia Nimrod Mkono ni mmoja wa waanzilishi na wamiliki wa Bank M. Kuna wakati vyanzo visivyo rasmi sana vya habari viliwahi kubainisha kwamba ana NET WORTH ya USD 55m.

Unaweza kuniambia Ndesa anamiliki nyumba zipi/apartments/hotels zipi na kukadiria ukubwa wa biashara zake?



Kumbuka utajiri wa Mkono,ni mali ya wavuja jasho !Kumbuka pesa alizolipwa na BoT eti kwa ajili ya uwakili!!!Malegesi vilevile.
Kuwa na ubia UK sio deal sana,kumbukeni mawakili wa UK,walivyoshirikiana kuandika mikataba bomu,i mean sure hawa wenye ubia na Mkono UK,wanatarget kitu kimoja tu,resources za Tanzania!

Nafikiri wasomaji wa JF,hatuwezi kuwabrainiwash kama wanavijiji wenzetu mikoani na wilayani !
 
Kumbuka utajiri wa Mkono,ni mali ya wavuja jasho !Kumbuka pesa alizolipwa na BoT eti kwa ajili ya uwakili!!!Malegesi vilevile.
Kuwa na ubia UK sio deal sana,kumbukeni mawakili wa UK,walivyoshirikiana kuandika mikataba bomu,i mean sure hawa wenye ubia na Mkono UK,wanatarget kitu kimoja tu,resources za Tanzania!

Nafikiri wasomaji wa JF,hatuwezi kuwabrainiwash kama wanavijiji wenzetu mikoani na wilayani !

Kama kuna ushahidi wowote basi aandaliwe na mashtaka na apelekwe mahakamani! Ila kama hakuna, huwezi kumtuhumu kwa kuchota pesa a wavuja jasho. Na kwa maana hiyo utajiri wake bado unahesabika kwamba ni wa halali.
 
Joji Poji, uko wapi wewe ?
tueleze Idd Azan, Mbunge wa Kinondoni anamiliki nini ? anafanya biashara gani ? kwanini unahisi ni tajiri ?
 
Back
Top Bottom