Mh..........interesting!

Mh..........interesting!

EJM_

JF-Expert Member
Joined
Jul 8, 2011
Posts
3,836
Reaction score
2,100
Nimekuwa nafuatilia post nyingi sana humu kwenye haka ka sub forum ka MMU. Nimegundua kitu, post nyingi zinazotolewa na wasichana/wanawake kutafuta wapenzi/wachumba au waume zimekuwa zinapata comments nyingi sana tofauti na za wanaume ambazo mara nyingine hukosa kabisa hata comment moja pamoja na kuwa ziko nyiiingi.

Jamani eeeh wapeni moyo na wanaume basi ili wasijekata tamaa
 
M'Jr sijui na mimi nitangaze nia nione kama nitapata halafu mi naweka na picha pia
 
Last edited by a moderator:
Hahahahaaa mkuu unaweka picha yako au blu print ya yule unayemtaka?

Naweka picha yangu kuwa natafuta na mwenye nia aje
Maana kuweka picha ya ninayemtafuta haisaidiii naweka ya kwangu wajue kuwa niko serious na namwaga CV yangu yote
 
Naweka picha yangu kuwa natafuta na mwenye nia aje
Maana kuweka picha ya ninayemtafuta haisaidiii naweka ya kwangu wajue kuwa niko serious na namwaga CV yangu yote

Usiache kutumia adobe photo shop ili uiblur iwe kama za kina kanumba kwenye makasha ya dvd.
 
Naweka picha yangu kuwa natafuta na mwenye nia aje
Maana kuweka picha ya ninayemtafuta haisaidiii naweka ya kwangu wajue kuwa niko serious na namwaga CV yangu yote
Hahahahaaaa mkuu hiyo itakuwa soooooooo innovative, hop we hawatakuchunia au sijui huwa wanaenda pm hawataki tuone hapa!
 
Usiache kutumia adobe photo shop ili uiblur iwe kama za kina kanumba kwenye makasha ya dvd.
Hahahahaaa sio akiiblur itatoka kama yuko mawinguni hivi au kwenye ule ukungu wa Ngorongoro haonekani uzuri?
 
Usiache kutumia adobe photo shop ili uiblur iwe kama za kina kanumba kwenye makasha ya dvd.
Kaunga naitengeneza mbaya kabis ana VC naipamba kwa maneno yote yanayojulikana
Yaani kila atakayeiona atatuma maombi yake

Hahahahaaaa mkuu hiyo itakuwa soooooooo innovative, hop we hawatakuchunia au sijui huwa wanaenda pm hawataki tuone hapa!
M'Jr mi PM nitakuwa nazianika zote nijue wangapi wametuma offer na wangapi wameuchuna
 
Last edited by a moderator:
Yule kaka wa usalama wa taifa mwenye jina gumu gumu, si alishaanika na akasort out a no of candidate (wa DOM, MZA & DSM), so nakubaliana na aliyesema hapo juu, wanawake watakuwa wanajibu kwa vitendo (PM) na si bla bla za open space.

Mwenyewe nishajibu kwa PM kama mara 32 hivi, na zote nimetolewa nje!
 
Yule kaka wa usalama wa taifa mwenye jina gumu gumu, si alishaanika na akasort out a no of candidate (wa DOM, MZA & DSM), so nakubaliana na aliyesema hapo juu, wanawake watakuwa wanajibu kwa vitendo (PM) na si bla bla za open space.

Mwenyewe nishajibu kwa PM kama mara 32 hivi, na zote nimetolewa nje!


Umenipa fundisho aise
Kwako hata kwa dawa situmi application maana cha mbavu sikiwezi
 
Yule kaka wa usalama wa taifa mwenye jina gumu gumu, si alishaanika na akasort out a no of candidate (wa DOM, MZA & DSM), so nakubaliana na aliyesema hapo juu, wanawake watakuwa wanajibu kwa vitendo (PM) na si bla bla za open space.

Mwenyewe nishajibu kwa PM kama mara 32 hivi, na zote nimetolewa nje!
Hahahahaaa watu wanaogopa hicho kilemba wanahisi lazima utakuwa mwanaharakati tu
 
Nimekuwa nafuatilia post nyingi sana humu kwenye haka ka sub forum ka MMU. Nimegundua kitu, post nyingi zinazotolewa na wasichana/wanawake kutafuta wapenzi/wachumba au waume zimekuwa zinapata comments nyingi sana tofauti na za wanaume ambazo mara nyingine hukosa kabisa hata comment moja pamoja na kuwa ziko nyiiingi.

Jamani eeeh wapeni moyo na wanaume basi ili wasijekata tamaa

Hao ( wasichana/wanawake) ndio wanaokimbiza Dunia..,M'jr.
 
Back
Top Bottom