Mh..........interesting!

Mh..........interesting!

Mmmmh, huyo muuza matunda aliangia fron au back??

Tunamuongelea mlimbwende mmoja hivi, kila akipita mtaani lazima watu wageuze shingo kumwangalia. Nakumbuka muuza matunda alimwaga matunda yake siku moja alipokuwa anamtolea mimacho mpaka akajikwaa
 
Mmmmh, huyo muuza matunda aliangia fron au back??
Aliangalia kuanzia front akazungusha shingo kama feni mpaka back na ndipo alipojikwaa maana alikuwa anelekea upande tofauti na anaoangalia. Alichanganywa zaidi na ki "Ayumi" nafikiri
 
Back
Top Bottom