1. Mh. Jaji Mkuu, mhimili wa mahakama pole pole unajenga tabia ya mahakimu na baadhi ya majaji kupuuza sheria na kuwanyima watu dhamana. Tabia hujengwa na ISIPOKEMEWA HUOTA MIZIZI NA IKASHIKA. Ndicho kinachounyemelea muhimili wako, kama hakijajichimbia!
Ni masikitiko kuwa hujatoa tamko la kukemea haya tunayoyaona. Kuna sababu gani ya kumnyima Sugu dhamana?
2. Serikali kupuuza maamuzi halali ya mahakama. Uovu huu unaota mizizi. Mfano mzuri ni ubomoaji wa nyumba Kimara. Tulitegemea utoe kauli angalau ya kuonya, pamoja na kuwa utapuuzwa, lkn umetoa kauli. Kauli huumba! Kauli yako inaweza kuumba.
Jaji Mkuu Maraga wa Kenya, amekemea, ingawa atapuuzwa lkn itakuwa imewekwa kwenye maandishi na historia.
Kenya's chief justice David Maraga warns government to respect the law
By AFP | Published: 07th February 2018 08:57 PM |
Last Updated: 07th February 2018 08:57 PM |
NAIROBI: Kenya's chief justice on Wednesday criticised the government's recent defiance of a series of court orders -- actions that he said "threaten the rule of law."
In a rare public statement, David Maraga -- who rose to international attention last September when he annulled Kenya's presidential election -- warned that government's refusal to comply with various court orders over the last week undermined the constitution.
"In the last few days there have been worrying developments in the administration of justice that threaten the rule of law," Maraga said.
"The recent disregard of court orders is an act that is not only inimical to the rule of law but is also completely at odds with Kenya's constitutional outlook."
"Compliance with court orders is not an option for any individual or institution. Neither is it a favour to be doled out to the Judiciary. Rather, it is a crucial matter of constitutional and civic obligation," he said.
Ni masikitiko kuwa hujatoa tamko la kukemea haya tunayoyaona. Kuna sababu gani ya kumnyima Sugu dhamana?
2. Serikali kupuuza maamuzi halali ya mahakama. Uovu huu unaota mizizi. Mfano mzuri ni ubomoaji wa nyumba Kimara. Tulitegemea utoe kauli angalau ya kuonya, pamoja na kuwa utapuuzwa, lkn umetoa kauli. Kauli huumba! Kauli yako inaweza kuumba.
Jaji Mkuu Maraga wa Kenya, amekemea, ingawa atapuuzwa lkn itakuwa imewekwa kwenye maandishi na historia.
Kenya's chief justice David Maraga warns government to respect the law
By AFP | Published: 07th February 2018 08:57 PM |
Last Updated: 07th February 2018 08:57 PM |
NAIROBI: Kenya's chief justice on Wednesday criticised the government's recent defiance of a series of court orders -- actions that he said "threaten the rule of law."
In a rare public statement, David Maraga -- who rose to international attention last September when he annulled Kenya's presidential election -- warned that government's refusal to comply with various court orders over the last week undermined the constitution.
"In the last few days there have been worrying developments in the administration of justice that threaten the rule of law," Maraga said.
"The recent disregard of court orders is an act that is not only inimical to the rule of law but is also completely at odds with Kenya's constitutional outlook."
"Compliance with court orders is not an option for any individual or institution. Neither is it a favour to be doled out to the Judiciary. Rather, it is a crucial matter of constitutional and civic obligation," he said.