Mh. Jaji Mkuu wa Tanzania: Kemea haya yanayojiri kwenye muhimili wa mahakama

Mh. Jaji Mkuu wa Tanzania: Kemea haya yanayojiri kwenye muhimili wa mahakama

Ukiangalia kwa umakini ni kwamba kuna mahali kama watanzania hatujitendei haki sisi wenyewe!Hebu tujiulize ni lini na wapi tuliamua kwa umoja wetu kuwashtaki hawa watesi kwa maovu watutendeayo?Hivi tunauoga gani wakutetea haki zetu?Ni kweli tumeridhika?Kwanini tulalamike?Njia ni moja tujikusanye na kuamua kuishtaki serikali kwa kukiuka haki zetu za msingi kabisa.

Kuna issue ya masaa48 toka Mbowe aipeleke mahakamani mpaka leo haijasikilizwa nahisi ilishatupiliwa mbali sabbau ya uoga wa Hakimu.Wanasheria wanawekwa ndani na wakuu wa mikoa/wilaya haoni shida ya kutuelekeza cha kufanya ili tujikomboe na hawa maharamia.

Ndugu yangu Jaji Mkuu yuko mezani na mfalme hawezi kufurukuta labda siku akiretire,ni wajibu wetu kujitetea tusitegemee hawa wateuliwa hata siku moja
Uko sahihi, mahakimu waoga, wanategemea Ujaji, uwezekano ni mkubwa kumsikiliza Mteuzi wake. Lisu yuko wapi? Ana uthubutu na lazima kuwe na wa kuthubutu. Hawa wanasheria kama akina Mtobesya na kifungu cha 148 (?)..
Angalia hawa wa Philippines, wamejitoa.
08 February 2018 - 15H51
ICC probing alleged crimes in Philippines, Venezuela

  • The unprecedented decision to launch two inquiries at once comes after ICC prosecutor Fatou Bensouda was petitioned by opposition leaders from the two countries, accusing their hardline governments of crimes against humanity.
 
Uko sahihi, mahakimu waoga, wanategemea Ujaji, uwezekano ni mkubwa kumsikiliza Mteuzi wake. Lisu yuko wapi? Ana uthubutu na lazima kuwe na wa kuthubutu. Hawa wanasheria kama akina Mtobesya na kifungu cha 148 (?)..
Angalia hawa wa Philippines, wamejitoa.
08 February 2018 - 15H51
ICC probing alleged crimes in Philippines, Venezuela

  • The unprecedented decision to launch two inquiries at once comes after ICC prosecutor Fatou Bensouda was petitioned by opposition leaders from the two countries, accusing their hardline governments of crimes against humanity.

Wa kwetu ni waoga,wakati muda huu wanasheria kupitia TLS wangekuwa busy kutujengea hoja za kuishtaki serikali lakini ni waoga hata kusema Pole kwa RAIS wao
 
Wa kwetu ni waoga,wakati muda huu wanasheria kupitia TLS wangekuwa busy kutujengea hoja za kuishtaki serikali lakini ni waoga hata kusema Pole kwa RAIS wao
Exactly, nchi ya maiti wanatembea. Philippines activists ndio walipeleka petition kwa Bensouda (ICC), na sasa probe imeanza. Huyu Durtete ameua wengi san eti madawa. Kuna taratibu hazisemi uwaue suspects!
 
Exactly, nchi ya maiti wanatembea. Philippines activists ndio walipeleka petition kwa Bensouda (ICC), na sasa probe imeanza. Huyu Durtete ameua wengi san eti madawa. Kuna taratibu hazisemi uwaue suspects!

Ni kweli kabisa,lakini watawala wetu wanasema ukiwa msaliti upotezwe tu na watanzania wenzetu wanapiga makofi.I wish nipate watanzania kumi ambao tutakubaliana kulianzisha mahakamani kudai haki za smingi za kujieleza na kuondoa sheria kandamizi
 
Ni kweli kabisa,lakini watawala wetu wanasema ukiwa msaliti upotezwe tu na watanzania wenzetu wanapiga makofi.I wish nipate watanzania kumi ambao tutakubaliana kulianzisha mahakamani kudai haki za smingi za kujieleza na kuondoa sheria kandamizi
LHRC is the right institution to initiate the rolling of the ball! It is their prime duty!
 
Imefichwa lakini insta tumeinyaka
Kuna video wamama wanalalamika suala la sugu kuweka ndani ni hatar huyu mtu kumtoa jombo la mbeya inahitaj walipuliwe wananchi wanaopiga kura wakienda kwa mwenendo wa kuiba kura mbeya watachinjana sugu anapendwa
 
Kuna video wamama wanalalamika suala la sugu kuweka ndani ni hatar huyu mtu kumtoa jombo la mbeya inahitaj walipuliwe wananchi wanaopiga kura wakienda kwa mwenendo wa kuiba kura mbeya watachinjana sugu anapendwa
Ndoto za mchana!
 
Kuna video wamama wanalalamika suala la sugu kuweka ndani ni hatar huyu mtu kumtoa jombo la mbeya inahitaj walipuliwe wananchi wanaopiga kura wakienda kwa mwenendo wa kuiba kura mbeya watachinjana sugu anapendwa
Mbeya ni nchi na rais ni Sugu
 
Kenge huwa haamini hadi damu itoke sikion nafikir umesahau 2011 mbeya ni mafala kwa kuwaangalia ila kwa maamuzi ni wanyama.

Jana niliona Thread kuhusu Salam za kwaresma toka Maaskofu wa TEC ghafla ukatoweka sijui ulienda wapi.Ndiyo ujue hatuutaki ukweli asilani
 
Back
Top Bottom