Mh. Jumaa aweso hapo ulipo "Unamuangusha mama Samia"

Mh. Jumaa aweso hapo ulipo "Unamuangusha mama Samia"

dorge

Senior Member
Joined
Feb 7, 2025
Posts
118
Reaction score
186
Ndugu jamaa na marafiki wa Mh Jumaa.

Huyu kijana wenu anamuangusha Rais, maji hakuna. Sio kwa walala hoi tu hata wanyama hawapati maji. Ndh Aweso unamuangusha huyu mama yetu.

Imagine watu wanatajabhata majina ya mitaa yao. Kimya . Hakuna ufumbuzi
 
Labda wanafanya installation ya maziwa, mabomba yawe yanatoa maziwa.

Si unajua tena uchaguzi unakaribia.
Wananchi tumekuwa mazombi yaani hata jamaa haogopi tena
 
Ndugu jamaa na marafiki wa Mh Jumaa.

Huyu kijana wenu anamuangusha Rais, maji hakuna. Sio kwa walala hoi tu hata wanyama hawapati maji. Ndh Aweso unamuangusha huyu mama yetu.

Imagine watu wanatajabhata majina ya mitaa yao. Kimya . Hakuna ufumbuzi
Muacheni mama wa watu , mambo mengine ni upuuzi mtupu
 
Back
Top Bottom