Labda wanafanya installation ya maziwa, mabomba yawe yanatoa maziwa.Mabomba yapo maji hakuna
Muacheni mama wa watu , mambo mengine ni upuuzi mtupuNdugu jamaa na marafiki wa Mh Jumaa.
Huyu kijana wenu anamuangusha Rais, maji hakuna. Sio kwa walala hoi tu hata wanyama hawapati maji. Ndh Aweso unamuangusha huyu mama yetu.
Imagine watu wanatajabhata majina ya mitaa yao. Kimya . Hakuna ufumbuzi