Kawambwa: Matokeo ni mabaya kwa sababu shule za serikali ni nyingi.
umesahau na shule za seminarywastani wa ufaulu ulishushwa.na bado number ya waliofeli ni kubwa zaidi.
Kuna kamsemo kapya kakatoa,kumbe kuna
1.shule za binafsi
2.shule za serikali
3.shule za wananchi(kata).
duu ubaguzi huu ktk elimu wa wazi kabisawastani wa ufaulu ulishushwa.na bado number ya waliofeli ni kubwa zaidi.
Kuna kamsemo kapya kakatoa,kumbe kuna
1.shule za binafsi
2.shule za serikali
3.shule za wananchi(kata).
Wadau nipo sehem hapa naona TBCCM1 ikiendesha mada hii na wasemaji ni Prof. Enstella Bhalalusesa (kamishna wa elimu Tanzania), Mahamoud Mringo (Mwenyekiti wa wamiliki wa shule binafsi) na Dr. Kawambwa ( Mb) wazir wa elimu.
MADA
Mfumo wa Elimu Nchin Tanzania
hahaha kweli kazi
Waziri wa elimu anazungumza kwa heshima na adabu yote kama yeye ni mtumishi wa mungu.
Kama anataka kutoa mwarobaini wa kufeli,aseme wazi walimu wote lazima wawe na div 1 na 2.
Mjinga akimfundisha mjinga werevu hukimbia mbali na akili zao.
wastani wa ufaulu ulishushwa.na bado number ya waliofeli ni kubwa zaidi.
Kuna kamsemo kapya kakatoa,kumbe kuna
1.shule za binafsi
2.shule za serikali
3.shule za wananchi(kata).
4.shule za seminari
wastani wa ufaulu ulishushwa.na bado number ya waliofeli ni kubwa zaidi.
Kuna kamsemo kapya kakatoa,kumbe kuna
1.shule za binafsi
2.shule za serikali
3.shule za wananchi(kata).
4.shule za seminari
kipindi hiki ni kipindi cha mpito na pia kinauma ila kitapitavtu-kawambwa
hahaha kweli kazi
Waziri wa elimu anazungumza kwa heshima na adabu yote kama yeye ni mtumishi wa mungu.
Kama anataka kutoa mwarobaini wa kufeli,aseme wazi walimu wote lazima wawe na div 1 na 2.
Mjinga akimfundisha mjinga werevu hukimbia mbali na akili zao.