Mh. Kigwangala amechokonoa yanayonyamaziwa, bila umakini kuna siku Mo atasema Simba SC ni mali yangu na tutakuwa tumechelewa

Mh. Kigwangala amechokonoa yanayonyamaziwa, bila umakini kuna siku Mo atasema Simba SC ni mali yangu na tutakuwa tumechelewa

Watu wengi wanabishana nje ya mada, hakuba anayempinga uwekezaji au kumpinga mo.
Sababu kubwa ni kutaka Simba iwe timu kubwa afrika. Kamaulimfatilia mo kqbla hajafanya uwekezaji alisema atatoa bilioni 20 ambazo simba wataweka kwenye akaunti maalumu na pesa itakayopatikana itatumika kwa maendeleo ya Simba ikiwemo kulipa mishahara na maendeleo mengine lakini kipindi hichohicho Simba walipata mkataba na sportpesa mo alikuja juu na kusema hakushirikishwa ingawa mchakato ulikuwa haujaanza.
Kinachonfanya mo asitoe pesa ni kutaka Simba imtegemee yeye binafsi zaidi badala ya kujitegemea kama taasisi hivi kwa bahati mbaya leo mo kaondoka duniani simba watawezaje kulipa mishahara na gharama nyingine. Sanasana watarudi kama yanga kutembeza bakuli lakini kama mo yuko kwa ajili ya simba atoe bilioni 20 kama yalivyo makubaliano
 
Kwa kifupi sana ,niende kwa mada, Mimi namkubali Mh. Kigwa na kwa hili la Mo na Simba SC na bilioni zetu 20, kuna mambo ambayo ukimsikiza Mo ktk interview zake utagundua kwamba hapendi kuhojiwa kuhusu mzigo wake wa uwekezaji pale simba wa sh.bilioni 20.

Pili, utagundua tayari pale Simba ,Mo ana watu wake tayari aliowatengeneza ili wamsapoti katika kupiga danadana kulipa hizi hela.
Pia uteuzi wa huyu mwanadada, sina shaka na CV yake lakini inaonekana Mo kamweka pale kimkakati sana, kwa maslahi yake binafsi.NA INAONEKANA PIA SENZO ALIONDOKA PALE SIMBA SC KWA MAZINGIRA YALIYOTENGENEZWA ILI MO AWEKE MTU WAKE AMBAYE LAO NI MOJA.Kumbuka huyu mdada alikua msaidizi binafsi wa Mo.

Tunahitaji misingi,taratibu na sheria za uwekezaji wake pale Simba SC zizingatiwe.hatuhitaji hisani ya mtu.Hizo hela anatumia kulipa mishahara na gharama nyingine ziko ktk makubaliano gani.

AU ANATENGENEZA DENI ILI BAADAE ASEME ANAIDAI SIMBA.Hakuna mtu mwenye akili na anawaza vizuri atakubali kwamba kwasababu simba inaenda vizuri basi Mo aachwe tu.

Tusiwe watu wa akili nyepesi kwa mambo complex km haya. ILA SIJUI KWANINI WATZ WENGI TUMEKUWA WATU WA BORA LIENDE. Mambo ni mengi niishie hapa.
Napandisha uzi
 
Kigwangala ni masikini, hastahili kujibizana na Mo. Mwenye njaa apambane na mwenye njaa mwenzake
 
Kwa kifupi sana ,niende kwa mada, Mimi namkubali Mh. Kigwa na kwa hili la Mo na Simba SC na bilioni zetu 20, kuna mambo ambayo ukimsikiza Mo ktk interview zake utagundua kwamba hapendi kuhojiwa kuhusu mzigo wake wa uwekezaji pale simba wa sh.bilioni 20.

Pili, utagundua tayari pale Simba ,Mo ana watu wake tayari aliowatengeneza ili wamsapoti katika kupiga danadana kulipa hizi hela.
Pia uteuzi wa huyu mwanadada, sina shaka na CV yake lakini inaonekana Mo kamweka pale kimkakati sana, kwa maslahi yake binafsi.NA INAONEKANA PIA SENZO ALIONDOKA PALE SIMBA SC KWA MAZINGIRA YALIYOTENGENEZWA ILI MO AWEKE MTU WAKE AMBAYE LAO NI MOJA.Kumbuka huyu mdada alikua msaidizi binafsi wa Mo.

Tunahitaji misingi,taratibu na sheria za uwekezaji wake pale Simba SC zizingatiwe.hatuhitaji hisani ya mtu.Hizo hela anatumia kulipa mishahara na gharama nyingine ziko ktk makubaliano gani.

AU ANATENGENEZA DENI ILI BAADAE ASEME ANAIDAI SIMBA.Hakuna mtu mwenye akili na anawaza vizuri atakubali kwamba kwasababu simba inaenda vizuri basi Mo aachwe tu.

Tusiwe watu wa akili nyepesi kwa mambo complex km haya. ILA SIJUI KWANINI WATZ WENGI TUMEKUWA WATU WA BORA LIENDE. Mambo ni mengi niishie hapa.
We NO akisema timu ni yake unaathirika nini?..
 
Back
Top Bottom