Mh Kubenea Kuuguruma Manzese , Aliwahi kutahadharisha kuhusu ndege yetu kukamamatwa na imekamatwa kweli

Mh Kubenea Kuuguruma Manzese , Aliwahi kutahadharisha kuhusu ndege yetu kukamamatwa na imekamatwa kweli

Kama mpaka Leo CHADEMA bado hawajajua Kubenea ana ajenda gani pale ufipa, basi CHADEMA wanapaswa kuonewa huruma tu.
Nb: kubenea alitamka hadharani anajua alipo Ben saanane, naona mpaka Leo....
 
Mtoa mada ni miongoni mwa wale vijana wanaokula 10000 deile....wanaopewa fungu kuandika uharo wa kurudisha juhudi za serikali nyuma na kutetea minyumbu
Sasa mkuu unawezaje kurudisha nyuma juhudi za serikali kwa kuripoti mkutano wa Kubenea tena unaofanyika Manzese ?
 
Back
Top Bottom