Mgeni wa Jiji
JF-Expert Member
- Jul 27, 2017
- 9,758
- 18,431
"wapo hata waheshimiwa wanaotumia humu ndani..." Msukuma
Nimeanza na nukuu, sina salamu zaidi ya Aluuta!! [emoji1535]
Mh. Msukuma tafadhali ongeza juhudi angala tupate turuhusa twa kujilipua na kukuza uchumi kwa namna nyingine.
Waambie wazee kuwa hii kitu haina madhara hayo wanayoyawaza. Wakumbushe kuwa pombe zinawafanya watu wanajipupia na kujikojolea ila hii kitu haina hayo mambo.
Wakumbushe ni free of cancer tofauti na ile mizigo ya pale ttc inayotuongezea gharama kubwa za matibabu.
Usisahau kuwaambia kuwa rizla+ ni bidhaa halali inayokosa matumizi kwa sasa Tz. Kama inavyoonekana pichani
Mimi ni hayo tu Mheshimiwa.
Mtu mmoja apaze sauti kumkumbusha Mh. Msukuma.
Aluuta!! [emoji1535]
Nimeanza na nukuu, sina salamu zaidi ya Aluuta!! [emoji1535]
Mh. Msukuma tafadhali ongeza juhudi angala tupate turuhusa twa kujilipua na kukuza uchumi kwa namna nyingine.
Waambie wazee kuwa hii kitu haina madhara hayo wanayoyawaza. Wakumbushe kuwa pombe zinawafanya watu wanajipupia na kujikojolea ila hii kitu haina hayo mambo.
Wakumbushe ni free of cancer tofauti na ile mizigo ya pale ttc inayotuongezea gharama kubwa za matibabu.
Usisahau kuwaambia kuwa rizla+ ni bidhaa halali inayokosa matumizi kwa sasa Tz. Kama inavyoonekana pichani
Mimi ni hayo tu Mheshimiwa.
Mtu mmoja apaze sauti kumkumbusha Mh. Msukuma.
Aluuta!! [emoji1535]