MH MWIGULU KIPUNGUN MNAWALIPA LINI??MBONA TU NATESEKA HIVI..MH BONNA WAMBIE MUNGU ANAJIBU DINIAN

MH MWIGULU KIPUNGUN MNAWALIPA LINI??MBONA TU NATESEKA HIVI..MH BONNA WAMBIE MUNGU ANAJIBU DINIAN

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
57,951
Reaction score
32,619
N jambo la kusikitisha sana sana

2017

Serikali ilikuja ikafanya uchambuzi wake wakitarajia kuchukua eneo la kipungun kwa utanuzi wa airport

Watu wakasimamishwa kuendelea kujenga

Wakasimamishwa kuendelea kupangisha

Hakuna kilichotokea wala watu kulipwa hela waondoke

2022

Serikali ile ile ikaja tena inataka kutanua uwanja wa ndege

Wananchi wakahimizwa wawepo majumbani wakaitikia witooo

Wakafanya evaluation zao na kila eneo kiasi gan unapewa

Wakapokea makaratasi wakasain ktkt kusaini kuna masharti ya kutoendeleza eneo lako na kutopangisha

Wale waliopangishwa walipojua kimesanuka wakaondoka kabisa

2023
Wananchi wakaomba dokdzo wanalipwa lini wakambiwa Nov


Jan 2024 hiooo wakaomba dokezo wanalipwa lini wakaambiwa kuanzia Apr 2024

Leoo n Sept 2024 mh Mwigulu kaka yetu embu vaeni viatu kama mnakaa kipungun kweli watu wanashsindwa kulipa ada za watoto

Watu wanaogopa hata kupanga trna waksiambiwa pana vunjwa

Msaada wako mh

Lini tunalipwa hizo hela tuanzee hatujazaliwa airports........

Na kama hamna mpango wa kutanua uwanja tena tupeni go ahead tujenge na wananchi waruhusiwe kupanga

Raha ya mileles utupe ee Bwana
Mwanga.......

Mh Bonna Dadayetu wajuze Mungu analipa duniani

Wakumbushe kuna msrehemu mmewasainisha makaratasi walikuwa wanaumwa wanategemea pesa za kodi leo hawapo....mjue kisa kukosa hela

Haya
Napitatuu
 
N jambo la kusikitisha sana sana

2017

Serikali ilikuja ikafanya uchambuzi wake wakitarajia kuchukua eneo la kipungun kwa utanuzi wa airport

Watu wakasimamishwa kuendelea kujenga

Wakasimamishwa kuendelea kupangisha

Hakuna kilichotokea wala watu kulipwa hela waondoke

2022

Serikali ile ile ikaja tena inataka kutanua uwanja wa ndege

Wananchi wakahimizwa wawepo majumbani wakaitikia witooo

Wakafanya evaluation zao na kila eneo kiasi gan unapewa

Wakapokea makaratasi wakasain ktkt kusaini kuna masharti ya kutoendeleza eneo lako na kutopangisha

Wale waliopangishwa walipojua kimesanuka wakaondoka kabisa

2023
Wananchi wakaomba dokdzo wanalipwa lini wakambiwa Nov


Jan 2024 hiooo wakaomba dokezo wanalipwa lini wakaambiwa kuanzia Apr 2024

Leoo n Sept 2024 mh Mwigulu kaka yetu embu vaeni viatu kama mnakaa kipungun kweli watu wanashsindwa kulipa ada za watoto

Watu wanaogopa hata kupanga trna waksiambiwa pana vunjwa

Msaada wako mh

Lini tunalipwa hizo hela tuanzee hatujazaliwa airports........

Na kama hamna mpango wa kutanua uwanja tena tupeni go ahead tujenge na wananchi waruhusiwe kupanga

Raha ya mileles utupe ee Bwana
Mwanga.......

Mh Bonna Dadayetu wajuze Mungu analipa duniani

Wakumbushe kuna msrehemu mmewasainisha makaratasi walikuwa wanaumwa wanategemea pesa za kodi leo hawapo....mjue kisa kukosa hela

Haya
Napitatuu
Ndo maana na kwambia wewe jamaa unauthubutu sana juu ya mada zako. Ingawa sio zote..

Jana ulitakiwa upewe chochote kitu😅
 
Hahahahàaaaa mpwa nipe ngao ya jamiiii inatosha

Cc
Admn
Ndo maana na kwambia wewe jamaa unauthubutu sana juu ya mada zako. Ingawa sio zote..

Jana ulitakiwa upewe chochote kitu😅
 
Back
Top Bottom