[emoji419] Kuna sakata la bando.. kampuni za simu zinaweka limit jambo ambalo ni wizi kiukweli.
[emoji419] hela ni yako na matumizi wanakupangia... kwanini kuna expire ya bando kama sio wizi mtupu.
Bado linaishaje wakati ujatumia mbona vocha haishi mara tu unapoinunua? Na vocha expire yake ni mwaka.