Mh nimeskia waziri mkuu Leo anawasemea waliopona uraibu wa madawa ya kulevya wapewe ajira..

Mh nimeskia waziri mkuu Leo anawasemea waliopona uraibu wa madawa ya kulevya wapewe ajira..

Amlodipine500

Senior Member
Joined
Jun 24, 2024
Posts
109
Reaction score
175
Majobless mpo!? Naona Kila siku mnalia tamisemi zitatangazwa lini ajira , maana vijana wanasubiri ajira Hadi wanapata stress wengine ni walevi na yawezekana hata wengine wataingia kwenye dimbwi la dawa za kulevya...huku Leo waziri mkuu ametoa Rai Kwa tamisemi kuwaajira waliopona uraibu, sasa kumbe wanasuburi vijana wachanganyikiwe ndio waajiri wasiokuwa na akili timamu
 
Majobless mpo!? Naona Kila siku mnalia tamisemi zitatangazwa lini ajira , maana vijana wanasubiri ajira Hadi wanapata stress wengine ni walevi na yawezekana hata wengine wataingia kwenye dimbwi la dawa za kulevya...huku Leo waziri mkuu ametoa Rai Kwa tamisemi kuwaajira waliopona uraibu, sasa kumbe wanasuburi vijana wachanganyikiwe ndio waajiri wasiokuwa na akili timamu
Hiyo ni motisha kwa wale ambao hawataki kwenda kupata matibabu pamoja na ushauri nasaha
 
Majobless mpo!? Naona Kila siku mnalia tamisemi zitatangazwa lini ajira , maana vijana wanasubiri ajira Hadi wanapata stress wengine ni walevi na yawezekana hata wengine wataingia kwenye dimbwi la dawa za kulevya...huku Leo waziri mkuu ametoa Rai Kwa tamisemi kuwaajira waliopona uraibu, sasa kumbe wanasuburi vijana wachanganyikiwe ndio waajiri wasiokuwa na akili timamu
Nashauri vijana wapige madawa then wapone wapewe ajira na serikali pendwa ya ccm
 
Sisi ambao hatuna ajira watupe mitaji ya kuwauzia wasio pona
 
Back
Top Bottom