Tetesi: Mh Polepole kuna 100% aweza kamata jiji....

Tetesi: Mh Polepole kuna 100% aweza kamata jiji....

Makonda shida yake Kubwa ni kulewa Sifa ni Dhahiri sasa hafai kuwa Mkuu wa Mkoa Raisi mwondoshe mapema kuepusha Aibu
 
Hivi muanzisha thread, unahisi MAGUFULI atafanyia kazi jungu lako dhidi ya RC MAKONDA?
Mission anayofanya makonda ni maalum kuliweka jiji katika hali ya usmart.
Jiji kwa miaka mingi limekua la mpangilio wa hovyo, omba omba wenye uwezo wa kufanya kazi, biashara holela kwenye mabarabara kiasi hata kuleta kero kwa watumiaji wa barabara, vibaka mwanzo mwisho.
Sasa ni Muda wa jiji kupangika kistarabu.
Siasa uchwra na majungu hayana nafasi tena kwa MAGUFULI ni PERFORMANCE tu.
Pia kumsakama makonda ni kumpandisha rank, kwani mkulu yupo ana watch jinsi dose inavyowaingia
Kuna mambo ukiyashabikia unaweza kuoekana mwehu sasa ndio kama wewe
 
Eti genius....Naona Mleta mada hujuwi maana ya genius....
 
Makonda shida yake Kubwa ni kulewa Sifa ni Dhahiri sasa hafai kuwa Mkuu wa Mkoa Raisi mwondoshe mapema kuepusha Aibu
Tatizo letu tunataka kila mtu afurahishwe na utendaji wake , Hilo ni jambo lisilo wezekana, lazima kuna baadhi watapinga kwa sababu zao binafsi, utumishi uliotukuka unaanza kuonekana sasa!
 
Hivi muanzisha thread, unahisi MAGUFULI atafanyia kazi jungu lako dhidi ya RC MAKONDA?
Mission anayofanya makonda ni maalum kuliweka jiji katika hali ya usmart.
Jiji kwa miaka mingi limekua la mpangilio wa hovyo, omba omba wenye uwezo wa kufanya kazi, biashara holela kwenye mabarabara kiasi hata kuleta kero kwa watumiaji wa barabara, vibaka mwanzo mwisho.
Sasa ni Muda wa jiji kupangika kistarabu.
Siasa uchwra na majungu hayana nafasi tena kwa MAGUFULI ni PERFORMANCE tu.
Pia kumsakama makonda ni kumpandisha rank, kwani mkulu yupo ana watch jinsi dose inavyowaingia
mwambie tu aondoe wapiga debe pale ubungo wanakera kama nini!
 
Dar inahitaji RC aliye neutral ili aunganishe maDC ambao ni makada na mameya wa Ukawa ktk kuleta maendeleo, and Humphrey is among them.Jamaa yuko makini kichwani
 
Achinjwe tu. Anasaka mashoga wakati anapiga nao picha?
 
Naona jamaa anatoa maagizo tu utekelezaji Sifuri.May be angembakisha Sadick Meck
 
NAONA SIKU HIZI WAKUU WA WILAYA ZA DAR WANAJIANZISHIA NYUZI WENYEWE HAJAHAHA KULE HAPI KAANZISHA ZAKE NA WEWE POLEPOLE UNA ZAKO HUKU
Makonda, Hapi na Polepole wote ni wa kufuta kazi mara moja
 
Back
Top Bottom