The Fixer
JF-Expert Member
- Mar 3, 2008
- 1,365
- 594
Wana ndugu,
Naomba wale wenye maarifa ya upande wa sheria au wajuvi au wabobezi wa Sheria watuambie ikiwa tutapaza sauti zetu na Mh Rais kwakuwa ni mtu msikivu na akaamua kwa dhati kabisa kulivunja Bunge hili la Katiba na kutoa muda kwa wenye nia ya dhati kabisa ku apply walau Laki 1 kwa siku hapa Dodoma mpo tayari ?
Hii kuwa mjumbe tu ni heshima kubwa sana kwa nchi zingine unaweza mtu kuhudhiria kwa kujitolea tu, buree kabisa
Tumshinikize Rais alivunje tu kama ni mbwai ni mbwai tu
Naomba wale wenye maarifa ya upande wa sheria au wajuvi au wabobezi wa Sheria watuambie ikiwa tutapaza sauti zetu na Mh Rais kwakuwa ni mtu msikivu na akaamua kwa dhati kabisa kulivunja Bunge hili la Katiba na kutoa muda kwa wenye nia ya dhati kabisa ku apply walau Laki 1 kwa siku hapa Dodoma mpo tayari ?
Hii kuwa mjumbe tu ni heshima kubwa sana kwa nchi zingine unaweza mtu kuhudhiria kwa kujitolea tu, buree kabisa
Tumshinikize Rais alivunje tu kama ni mbwai ni mbwai tu