Mh. Rais, inawezekana unahujumiwa kupitia ama Bank au watu wa Hazina

Mh. Rais, inawezekana unahujumiwa kupitia ama Bank au watu wa Hazina

Mushkov

JF-Expert Member
Joined
Feb 16, 2024
Posts
357
Reaction score
686
Mpaka sasa watumishi wa umma wengi wao wanaochukulia mshahara NMB hawajapata mishahara wakati wanaochukulia mshahara Bank zingine walishapata tangu juzi Jumamosi.

Kuna nini hapo?
 
Mimi nachukulia NMB na nimepata trh 21.

Kuchafuana siyo kuzuri fanya utafiti kwanza.
 
Mbn hela tangu juzi, tumepata tena NMB
 
Mtoa mada ana hoja, hivyo asishambuliwe. Ni kweli kuna watu walipata mshahara Jumamosi. Lakini kuna wengine wanaopitishia mishahara yao Nmb, ndiyo wamewekewa mchana wa leo Jumatatu. Na hata kwenye magroup ya whatsapp tulikuwa tunayaona haya malalamiko.

Hivyo serikali ingetoa mshahara kwa watumishi wake wote kwa wakati mmoja! Na isitumie huu utaratibu wa kutoa kwa mafungu! Kwa sababu unaweza kusababisha taharuki zisizo na ulazima.
 
Mtoa mada ana hoja, hivyo asishambuliwe. Ni kweli kuna watu walipata mshahara Jumamosi. Lakini kuna wengine wanaopitishia mishahara yao Nmb, ndiyo wamewekewa mchana wa leo Jumatatu. Na hata kwenye magroup ya whatsapp tulikuwa tunayaona haya malalamiko.

Hivyo serikali ingetoa mshahara kwa watumishi wake wote kwa wakati mmoja! Na isitumie huu utaratibu wa kutoa kwa mafungu! Kwa sababu unaweza kusababisha taharuki zisizo na ulazima.
Bora wewe umenielewa. Mimi nikikuwa namdai mtu mmoja, aliahidi kulipa baada ya mshahara, leo ndo akaniambia habari hizo. Watumishi wa umma inaonekana wana manyanyaso kiasi fulani.
 
Back
Top Bottom