cheguevara
JF-Expert Member
- Apr 30, 2012
- 1,348
- 652
Habarini wadai,
Niwazi mtu anayefukuzwa kazi ni vigumu kupata ajira nyingine kwa kigezo cha umri lakini mtu anayeachakazi mwenyewe mara nyingu huwa amepata sehemu nyingine,sasa kwanini aliyefukuzwa asipewe mafao yake bali aliyeacha ndiyo liangaliwe kwa mapana?
Niwazi mtu anayefukuzwa kazi ni vigumu kupata ajira nyingine kwa kigezo cha umri lakini mtu anayeachakazi mwenyewe mara nyingu huwa amepata sehemu nyingine,sasa kwanini aliyefukuzwa asipewe mafao yake bali aliyeacha ndiyo liangaliwe kwa mapana?