Ahahaaaaaaaaa-JPMMh Rais wetu ulotukuka, tafadhari kama unapita huku au kuna watu wako wanapita huku naamini watakufikishia ombi letu, naomba usikubali kwenda kuwakabidhi simba kombe la ubingwa kesho kwa sababu zifuatazo:
1. huyo mtu anajiita MANARA atatusumbua sana, kuwa wamepewa kombe na rais wa nchi
2. Muda huu sisi tunapitia wakati mgumu sana na tunatambua wewe u upande wetu utatuongezea unyonge
3. Kesho hapa mjini hasa wakati wa jioni tutapata tabu sana hasa sisi tunaokaa maeneo ya kariakoo, kigogo, Buguruni na maeneo ya karibu
4. Rais wangu kuwa 'FAIR' kidogo mbona sisi hukutukabidhi mwaka jana!
Simba bwana!. Yanga misimu mitatu walikuwa hawasumbui watu sijui ndio kulizoea?Ninyi hakina na nani, ameshaukubali mealiko, kesho atakabidhi kombe, kwa mabingwa wapya 2018-2019.
Lengo la TTF ni kuishilikisha serikali, mambo ya soka.
Maumivu dawa yake panado, ama fanya kama anavyo fanya mzee Akili Mali, yeye anapoona dalili ya maumivu, hukimbilia huko Bagamoyo, yamoto mpaka ya powe, ndipo hurejea.
Na kama unabisha, kuhusu hili la mzee Akili, mpigie simu umuulize.
1. Manji: Nina uwezo wa kuwanunua wachezaji wote wa Simba, alafu wawe wanacheza tu huko ufukweni.Simba bwana!. Yanga misimu mitatu walikuwa hawasumbui watu sijui ndio kulizoea?
Mbumbumbu ni mbumbumbu tu ni sawa na demu uliyemuacha mwenzio ndo anakesha kumpiga sound
1. Manji: Nina uwezo wa kuwanunua wachezaji wote wa Simba, alafu wawe wanacheza tu huko ufukweni.
Mkemi: Sisi tupo kwenye hoteli ya kifahari, wenzetu wamepanga, nyumba ya mtu, wametandika mikeka chini, na wanakula mihogo.
Mlidhani Mungu, hawasikii, tulieni sasa ni zamu yetu.
Tulivumilia tu, hatukulia kama nyie mnavyofanya hivi sasa.kwa hiyo mlimuomba mungu nasi tuangukie pua???
PoleeeeMh Rais wetu ulotukuka, tafadhari kama unapita huku au kuna watu wako wanapita huku naamini watakufikishia ombi letu, naomba usikubali kwenda kuwakabidhi simba kombe la ubingwa kesho kwa sababu zifuatazo:
1. huyo mtu anajiita MANARA atatusumbua sana, kuwa wamepewa kombe na rais wa nchi
2. Muda huu sisi tunapitia wakati mgumu sana na tunatambua wewe u upande wetu utatuongezea unyonge
3. Kesho hapa mjini hasa wakati wa jioni tutapata tabu sana hasa sisi tunaokaa maeneo ya kariakoo, kigogo, Buguruni na maeneo ya karibu
4. Rais wangu kuwa 'FAIR' kidogo mbona sisi hukutukabidhi mwaka jana!