blakafro
Senior Member
- May 1, 2014
- 152
- 104
Ukikaka bagamoyo road kwa maeneo ya huku mbezi na kuendelea mbele huko hayapiti masaa mawili bila kusikia ambulance. Hali inatisha.Mbweni, Ununio hadi Kunduchi imetikiswa!
Rip
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukikaka bagamoyo road kwa maeneo ya huku mbezi na kuendelea mbele huko hayapiti masaa mawili bila kusikia ambulance. Hali inatisha.Mbweni, Ununio hadi Kunduchi imetikiswa!
Rip
Na Watu wanazaliwa kila kukicha! Mzani wa Mungu haukosei relax!!Vifo kila kukicha
Nazani wakati wake umefika,bado sisi tusubiri wakati wetu!!Chanzo cha Kifo ni nini?
Vijana wa uvccm mnaonea hadi maiti wivuSasa si mpeleke matangazo yenu kule Redio one kwa Marehemu Mengi!!
Raha ya milele umpe Ee Bwana na mwanga wa milele umwangazie apumzike kwa amani...View attachment 1701387
Mahakama ya Tanzania inasikitika kutangaza kifo cha Jaji Mstaafu wa Mahakama Kuu ya Tanzania Mhe. Regina Rweyemamu aliyefariki dunia leo asubuhi katika hospitali ya Kitengule iliyopo Tegeta jijini Dar es salaam.
Msiba wa Jaji Mstaafu Rweyemamu uko nyumbani kwake Mbweni jijini Dar es salaam.
Mahakama ya Tanzania inatoa pole kwa familia ya marehemu, ndugu, jamaa na marafiki kufuatia msiba huu.
Taarifa Zaidi kuhusiana na msiba huu zitapatikana baadaye.
BWANA ALITOA NA BWANA AMETWAA, JINA LAKE LIHIMIDIWE.
I send my utmost condolences to her family members. May her soul rest in peace 🙏.View attachment 1701387
Mahakama ya Tanzania inasikitika kutangaza kifo cha Jaji Mstaafu wa Mahakama Kuu ya Tanzania Mhe. Regina Rweyemamu aliyefariki dunia leo asubuhi katika hospitali ya Kitengule iliyopo Tegeta jijini Dar es salaam.
Msiba wa Jaji Mstaafu Rweyemamu uko nyumbani kwake Mbweni jijini Dar es salaam.
Mahakama ya Tanzania inatoa pole kwa familia ya marehemu, ndugu, jamaa na marafiki kufuatia msiba huu.
Taarifa Zaidi kuhusiana na msiba huu zitapatikana baadaye.
BWANA ALITOA NA BWANA AMETWAA, JINA LAKE LIHIMIDIWE.
Haaa! Hobby!!!!, ukweli utasimama daima tuzidishe upendo watashindwa tu. Kupeana taarifa ni muhimu.Watanzania wamepata Hobby mpya ya kutangaza vifo
RIP Jaji na poleni sana wafiwa woteMahakama ya Tanzania inasikitika kutangaza kifo cha Jaji Mstaafu wa Mahakama Kuu ya Tanzania Mhe. Regina Rweyemamu aliyefariki dunia leo asubuhi katika hospitali ya Kitengule iliyopo Tegeta jijini Dar es Salaam.
Msiba wa Jaji Mstaafu Rweyemamu uko nyumbani kwake Mbweni jijini Dar es Salaam.
Mahakama ya Tanzania inatoa pole kwa familia ya marehemu, ndugu, jamaa na marafiki kufuatia msiba huu.
Taarifa Zaidi kuhusiana na msiba huu zitapatikana baadaye.
BWANA ALITOA NA BWANA AMETWAA, JINA LAKE LIHIMIDIWE.
Let her rest in piecesRest in peace
Sio kwenye redio tu hata kwenye luninga wanatangaza ,labda wewe ni mgeni mahala hapa.Sasa si mpeleke matangazo yenu kule Redio one kwa Marehemu Mengi!!
Kwani Kijazi wanatutangazia wa NiniSasa si mpeleke matangazo yenu kule Redio one kwa Marehemu Mengi!!
Oh Mama Regina.
Pumzika kwa amani Mh.
Poleni sana wanafamilia.