TANZIA Mh. Regina Rweyemamu, Jaji Mstaafu wa Mahakama Kuu ya Tanzania afariki Dunia

Raha ya milele umpe Ee Bwana na mwanga wa milele umwangazie apumzike kwa amani...
 
I send my utmost condolences to her family members. May her soul rest in peace 🙏.
 
Hospital ya Kitengule Tegeta,naomba wasifu wake wakuu
 
nn tena, nyumonia kali...? RIP mama!!
 
RIP Jaji na poleni sana wafiwa wote

Nashauri kada zote ziige utaratibu wa Mahaka kutangaza vifo vya watu wa kada wao
 
Sasa si mpeleke matangazo yenu kule Redio one kwa Marehemu Mengi!!
Kwani Kijazi wanatutangazia wa Nini
Wanamaliza Kodi zetu bure.amekufa anaoza fukia hakuna zaidi.onyesha shughuli za maendeleo.
Nini kikubwa alichofanya kutumalizia Kodi zetu
 
Oh Mama Regina.
Pumzika kwa amani Mh.
Poleni sana wanafamilia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…