GHIBUU
JF-Expert Member
- Jan 13, 2011
- 4,432
- 3,013
Mh Samia Suluhu Hassan amuombe radhi haraka mwenyekiti wa (JUMAZA)Sheikh Farid Hadi kabla hatujamsomea kisomo malum.
Waziri wa Nchi Afisi ya Makamo wa Rais (Muungano), Samia Suluhu Hassan ametuvunjia heshima Wzanzibar wote akiwemo Mwenyekiti wetu wa Jumuiya ya Maimamu Zanzibar (JUMAZA), Sheikh Farid Hadi Ahmed kwa kusema waliosimama na kuchana waraka wa mswada wa katiba na kuonyesha hasira zao nikikundi cha watu fulani ili kionekane kuwa hawautaki Muungano.
Katika kuhojiwa na wandishi wa habari Ustazi Sheikh Farid Hadi Ahmed alisema alisikitishwa sana na kauli alioitowa Mh Samia Suluhu Hassan kuwa waliosimama na kushana waraka na kuonyesha hasira zao kwenye mswada wa katiba nikikundi fulani tu kilichotarishwa ili kionekane kuwa Wzanzibar hawautaki Muungano.
Ustadhi Sheik Farid alitaka ili kurekebisha kauli yake na kwa vile kenda mbali ktk matamshi yake Mh Samia awaombe radhi haraka Wzanzibar sihivyo Jumuia ya Maimamu na Wzanzibar kwa ujumla watamsomea kisomo maluum chakumshtakia M/mungu kwa kuzofisha haki za Wzanzibar kwenye kudai haki zao.
View attachment 26910
Jumuia ya Maimamu Zanzibar inasema ilishangazwa sana na Mtu kama yeye Mh Samia kutowa kauli za kuwavunja moyo wzanzibar na kuzofisha harakati za haki ya Zanzibar? ilitakikana yeye ndio awe mstari wa mbele kutetea maslahi ya nchi yake kwa vile ana nafasi mzuri na ni Mzanzibar sio kutowa kauli za kiubabe.
Waziri wa Nchi Afisi ya Makamo wa Rais (Muungano), Samia Suluhu Hassan ametuvunjia heshima Wzanzibar wote akiwemo Mwenyekiti wetu wa Jumuiya ya Maimamu Zanzibar (JUMAZA), Sheikh Farid Hadi Ahmed kwa kusema waliosimama na kuchana waraka wa mswada wa katiba na kuonyesha hasira zao nikikundi cha watu fulani ili kionekane kuwa hawautaki Muungano.
Katika kuhojiwa na wandishi wa habari Ustazi Sheikh Farid Hadi Ahmed alisema alisikitishwa sana na kauli alioitowa Mh Samia Suluhu Hassan kuwa waliosimama na kushana waraka na kuonyesha hasira zao kwenye mswada wa katiba nikikundi fulani tu kilichotarishwa ili kionekane kuwa Wzanzibar hawautaki Muungano.
Ustadhi Sheik Farid alitaka ili kurekebisha kauli yake na kwa vile kenda mbali ktk matamshi yake Mh Samia awaombe radhi haraka Wzanzibar sihivyo Jumuia ya Maimamu na Wzanzibar kwa ujumla watamsomea kisomo maluum chakumshtakia M/mungu kwa kuzofisha haki za Wzanzibar kwenye kudai haki zao.
View attachment 26910
Jumuia ya Maimamu Zanzibar inasema ilishangazwa sana na Mtu kama yeye Mh Samia kutowa kauli za kuwavunja moyo wzanzibar na kuzofisha harakati za haki ya Zanzibar? ilitakikana yeye ndio awe mstari wa mbele kutetea maslahi ya nchi yake kwa vile ana nafasi mzuri na ni Mzanzibar sio kutowa kauli za kiubabe.

