Mh Samia Suluhu Hassan amuombe radhi haraka mwenyekiti wa (JUMAZA)Sheikh Farid

Mh Samia Suluhu Hassan amuombe radhi haraka mwenyekiti wa (JUMAZA)Sheikh Farid

Wazanzibari hawautaki muungano kwa asilimia 90. Bi. Suluhu anajaribu kuchunga kitumbua chake. walioukataa muungano ni wazanzibari wala sio kikundi. Kama haoni "polls" zilioko nikuwa hataki kuziona. Imepita hiyo kuwa kura za maoni juu ya muungano zipigwe kusudi muungano umalizike kwa salama au uendelee kwa salama. Sisi tumetawaqliwa licha ya maneno ya Mwalimu Nyerere eti tunaweza kujitenga. Wakati wa G55 munaukumbuka. Ali Hassana alikubali mjadala wa muungano si Nyerere alimtuka hadharani na kuitisha mkutanio wa dharura na kumuondosha waziri mkuu wa wakati ule. Tumesahau upesi mbona. Kwa hivo, maneno kuwa tunaweza kuondoka tukitaka si kweli. Sisi tunajaribu kuuvunja muungano kwa amani. Hakuna sababu ya kuendeleza muungano huu.

Na huyu jee?

 
Muungano hatuutaki tumechoshwa na hapa tanzania hakunakero za muungano kuna ukandamizaji wa muungano,si zani kama tuna kero hapa,na hii imekuja kwa kutulazimisha muungano,kwa nini musituachie tuuuvunjee muungano,mbona watanganyika wakaidi sana,hasara ni yetu tunaotaka kuuvunja sasa inakuwaje muna tuganda kama ruba ?

Hakuna kero za Muungano jamani, MUUNGANO wenyewe ndio kero kwa Wazanzibari na Watanganyika.

Tuseme mara ngapi?

Its now or never.
 
Back
Top Bottom