TzPride
JF-Expert Member
- Nov 2, 2006
- 2,616
- 1,169
Ningekuwa na uwezo 2010 mzee Six angechukuwa urais tuongeze nguvu ya kupambana na ufisadi, maana huyu mzee amekuwa akiwapa support nzuri sana wabunge wanaothubutu kusema ufisadi hadharani.
Ingekuwa enzi za Mkapa ungesikia kikao cha wabunge wa CCM kinaitishwa watu wakatishwe ili kuufyata....hata Selelii alikuwa akiufyata.
Ingekuwa enzi za Mkapa ungesikia kikao cha wabunge wa CCM kinaitishwa watu wakatishwe ili kuufyata....hata Selelii alikuwa akiufyata.