Mh. Vicky Kamata CV ...[ Mungu tuokoe]

Mh. Vicky Kamata CV ...[ Mungu tuokoe]

Status
Not open for further replies.
Huyu atasomaje msc bila hata ya kuwa na bachelor degree yoyote?
 
kutoka diploma aliyosomea kwenye internet cafe adi akaweza kusomea masters du! hizo ni kama degree za mrema sasa
 
mimi nimechoka na umri wa kuanza primary..yani miaka 4 na miezi minne enzi za mwalimu uanze la kwanza!!!may be she was a genius
 
Naona kuna vitu havijakaa sawa. Hizo publications ziko wapi maana online hakuna kitu! Au nivi-home work vya kawaida yeye anaita publication? Pia ukiangalia kwenye elimu mwaka 2005 hakuonekana kama anasoma popote, lakini ukija kwenye publication ametoa case study hii: V. Kamata: The Impact of Microfinance Scheme in Boasting Women Income - A Case Study of Pride Tanzania, SAUT, Mwanza. Au alikuwa anafanya private research?

Pia nilitegema kama amefanya MSc iwe 2008/2009 maana sidhani kama hicho chuo kinaanza January. Ifanct hakuna Southampton solet - kinaitwa Southmpton Solent. Pengine ni typing error ya office ya bunge.



From Certificate To Masters........!!!! HIYO INAITWA DAR MPAKA MORO!!

HALAFU CHEKI ALIVYORUDIA RUDIA HIZO STUDIES ILI AONEKANE AMEIANDIKA SANA?
 
Jamani mbona kama ni CV ya wabunge wa Chadema watu wanasisitiza kuangalia utendaji na si ma elimu makubwa? Nafikiri tuwe tunabalance katika kutoa comments!
 
I try to think bado sijaelewa hata kama anadeliver tunachokataa the way CV inavyosema Certificate to masterz hivi ni possible tusiwe na sisi magumashi andika unasoma uk certificates sawa lakin du na kasomea ualimu na hajawahi fundisha ninachojua mim zamani ukitoka ualimu moja kwa moja unapata ajira sasa dada Vick mmmmmmmmmmmmmmmh
 
Sioni tatizo na hiyo CV My take..."ni mpambanaji na maisha, na Masters UK vyuo huwa sio magumashi na its one year..basically 9 months and te rest is research. Hongera Mama.
AHA AHA ADUI MKUBWA NI CCM...HILI UPATE KAZI BOT VIGEZO
1-MTOTO WA KIGOGO
2-MREMBO WA KIGOGO
3-UWE TISS
LAKINI HIYO NUMBER MBILI NDIO ILIMPA KAZI PALE SEMA SIMTAJI ALIYEMPA NAOGOPA NUMBER TATU WATANIULIMBOKA ...........
""As we look ahead into the next century, leaders will be those who empower others." ~ Bill Gates
 
Lakini hata hivyo ana nafuu sana ukilinganisha na prof. Maji marefu na Lusinde.
Acheni kumnanga sana, chakula chetu hicho.
 
mmmh kasomaje huyu hii elimu mwenye no. yake anipe basi namimi nikasome fasta nihitimu huu ukilaza.hivi CV ya nanihi unayo?
 
kama nchi nahusudu vyeti, basi yule mwenye uwezo wa kupata vyeti hivyo kwa pesa na hila ndo atakuwa kiongozi na si yule mwenye uwezo wa kuongoza pekee.
 
Kwanza mwangalie mtoto alivyotulia na si unajua kuwa ni viti maalum ? Sasa unategemea ni ? Shakula ya Wakubwa bana , mjengoni wengine wamepelekwa kuwa viburudisho. Masters kitandani
 
From Certificate To Masters........!!!!


Member of Parliament CV From Certificate To Masters

[TABLE="width: 100%"]
[TR]
[TH="colspan: 3, align: left"]GENERAL[/TH]
[/TR]
[TR]
[TD]Salutation[/TD]
[TD]Honourable[/TD]
[TD="width: 42%"]Member picture
1591.jpg
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]First Name: [/TD]
[TD]Vick[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Middle Name:[/TD]
[TD]Paschal[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Last Name:[/TD]
[TD]Kamata[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 20%"]Member Type:[/TD]
[TD="width: 38%"]Special Seat[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Constituent:[/TD]
[TD]No Constituency[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Political Party:[/TD]
[TD]CCM[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Office Location:[/TD]
[TD]Box 2939, Dar Es Salaam/ box 30, Geita[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Office Phone: [/TD]
[TD]+255 783 277733[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Ext.: [/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Office Fax: [/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Office E-mail: [/TD]
[TD]vkamata@parliament.go.tz[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Member Status: [/TD]
[TD]Current Member[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Date of Birth [/TD]
[TD]18 September 1978[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="width: 100%"]
[TR]
[TH="colspan: 5, align: left"]EDUCATION[/TH]
[/TR]
[TR]
[TH="width: 35%"]School Name/Location [/TH]
[TH="width: 27%"]Course/Degree/Award [/TH]
[TH="width: 15%"]Start Date[/TH]
[TH="width: 13%"]End Date[/TH]
[TH="width: 10%"]Level[/TH]
[/TR]
[TR]
[TD]Kichangani Primary School, Morogoro[/TD]
[TD]Primary Education[/TD]
[TD]1983[/TD]
[TD]1989[/TD]
[TD]PRIMARY[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Morogoro Secondary School, Morogoro[/TD]
[TD]O-Level Education[/TD]
[TD]1990[/TD]
[TD]1993[/TD]
[TD]SECONDARY[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Mandaka Teachers' Training College[/TD]
[TD]Teaching Course[/TD]
[TD]1994[/TD]
[TD]1996[/TD]
[TD]CERTIFICATE[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Nyakohoja Computer Centre, Mwanza[/TD]
[TD]Diploma[/TD]
[TD]1997[/TD]
[TD]1999[/TD]
[TD]DIPLOMA[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]St. Augustine University[/TD]
[TD]Certificate in Journalism[/TD]
[TD]2001[/TD]
[TD]2002[/TD]
[TD]CERTIFICATE[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Eastern & Southern African Management Institute (ESAMI)[/TD]
[TD]Public Relation& Customer Care Course[/TD]
[TD]2007[/TD]
[TD]2007[/TD]
[TD]CERTIFICATE[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Southampton Solent University, UK[/TD]
[TD]MSc.[/TD]
[TD]2008[/TD]
[TD]2008[/TD]
[TD]MASTERS DEGREE[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="width: 100%"]
[TR]
[TH="colspan: 4, align: left"]EMPLOYMENT HISTORY [/TH]
[/TR]
[TR]
[TH]Company Name [/TH]
[TH]Position [/TH]
[TH]From Date[/TH]
[TH]To Date[/TH]
[/TR]
[TR]
[TD]The Parliament of Tanzania[/TD]
[TD]Member - Special Seat[/TD]
[TD]2010[/TD]
[TD]2015[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Bank of Tanzania (BOT)[/TD]
[TD]Public Relation Officer I[/TD]
[TD]2009[/TD]
[TD]2010[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Bank of Tanzania (BOT)[/TD]
[TD]Public Relation Officer III[/TD]
[TD]2006[/TD]
[TD]2009[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="width: 100%"]
[TR]
[TH="colspan: 4, align: left"]POLITICAL EXPERIENCE [/TH]
[/TR]
[TR]
[TH="class: text_menu, width: 47%"]Ministry/Political Party/Location[/TH]
[TH="class: text_menu, width: 31%"]Position[/TH]
[TH="class: text_menu, width: 12%"]From[/TH]
[TH="class: text_menu, width: 10%"]To[/TH]
[/TR]
[TR]
[TD]Chama Cha Mapinduzi, CCM[/TD]
[TD]Member - Southampton USolet University (UK) Branch[/TD]
[TD]2008[/TD]
[TD]2009[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Chama Cha Mapinduzi, CCM[/TD]
[TD]Secretary - SAUT Branch[/TD]
[TD]2002[/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Chama Cha Mapinduzi, CCM[/TD]
[TD]Member - Mandaka Branch[/TD]
[TD]1996[/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Chama Cha Mapinduzi, CCM[/TD]
[TD]Member[/TD]
[TD]1995[/TD]
[TD]Todate[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="width: 100%"]
[TR]
[TH="colspan: 2, align: left"]PUBLICATIONS[/TH]
[/TR]
[TR]
[TH="class: text_menu"]Description[/TH]
[TH="class: text_menu"]Date[/TH]
[/TR]
[TR]
[TD]V. Kamata: Investigation of Differentiation in University's MBA Programme - A Case Study of Southampton Solet University, UK.[/TD]
[TD]2009[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]V. Kamata: The Impact of Microfinance Scheme in Boasting Women Income - A Case Study of Pride Tanzania, SAUT, Mwanza[/TD]
[TD]2005[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]V. Kamata: Investigation of Differentiation in University's MBA Programme - A Case Study of Southampton Solet University, UK.[/TD]
[TD]2009[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]V. Kamata: The Impact of Microfinance Scheme in Boasting Women Income - A Case Study of Pride Tanzania, SAUT, Mwanza[/TD]
[TD]2005[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]V. Kamata: Investigation of Differentiation in University's MBA Programme - A Case Study of Southampton Solet University, UK.[/TD]
[TD]2009[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]V. Kamata: The Impact of Microfinance Scheme in Boasting Women Income - A Case Study of Pride Tanzania, SAUT, Mwanza[/TD]
[TD]2005[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]V. Kamata: Investigation of Differentiation in University's MBA Programme - A Case Study of Southampton Solet University, UK.[/TD]
[TD]2009[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]V. Kamata: The Impact of Microfinance Scheme in Boasting Women Income - A Case Study of Pride Tanzania, SAUT, Mwanza[/TD]
[TD]2005[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

Hapo kweli kazi tunayo! Kwani hata mwenye certificate hajui tofauti ya "boost" na "boast"?? Mwalimu gani anaweza kupitisha title ya Investigation of differentiation?
 
CV ya mtu sio issue. Ila anaweza ku-deliver? Kwani Thomas Edison aliyevumbua bulb baada ya kufanya experiment mara elfu kumi( 10,000 x) alikuwa na masters ya nini? Bill Gates ambaye ni owner wa Microsoft(unatumia Windows PC?) ana degree? Tatizo la watu walio wengi Tanzania wanaangalia CV za watu kana kwamba CV ndio zinazoleta maendeleo ya nchi yetu. CV zenye PhD,masters lukuki zimejaa maofisi ya serikali lakini zainabakia kucheza karata tu,ufanisi hamna.

Tukokane na huu upuuzi wa kufikiri kuwa CV za watu ndio kielelezo sahihi cha kumthamini mtu na thamani ya kile ambacho mtu anaweza kufanya. CV ina umuhimu wake lakini muhimu zaidi ni "deliverables"
Enzi hizo Edison na Gates hawakundanganya watu kuwa wanazo degree. Tatizo hapa ni kudanganya na kujaribu kuwafanya wananchi wa URT kuwa wapumbavu. wabunge wengi tu hawana degree na wameandika CV za ukweli kwa nini yeye adanganye?
halafu CV inaonyesha ameanza shule ya msingi akiwa na umri wa miaka minne na miezi mitatu, ameshindwa hata kufikiri jinsi ya ku-fake CV ndio ataweza kuchangia hoja huyo?
 
Hapo kweli kazi tunayo! Kwani hata mwenye certificate hajui tofauti ya "boost" na "boast"?? Mwalimu gani anaweza kupitisha title ya Investigation of differentiation?
Ni Mwl. JMK pekee ndio huwa anapitisha titles kama hii!
 
From Certificate To Masters........!!!!


Member of Parliament CV From Certificate To Masters

[TABLE="width: 100%"]
[TR]
[TH="colspan: 3, align: left"]GENERAL[/TH]
[/TR]
[TR]
[TD]Salutation[/TD]
[TD]Honourable[/TD]
[TD="width: 42%"]Member picture
1591.jpg
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]First Name: [/TD]
[TD]Vick[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Middle Name:[/TD]
[TD]Paschal[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Last Name:[/TD]
[TD]Kamata[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 20%"]Member Type:[/TD]
[TD="width: 38%"]Special Seat[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Constituent:[/TD]
[TD]No Constituency[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Political Party:[/TD]
[TD]CCM[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Office Location:[/TD]
[TD]Box 2939, Dar Es Salaam/ box 30, Geita[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Office Phone: [/TD]
[TD]+255 783 277733[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Ext.: [/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Office Fax: [/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Office E-mail: [/TD]
[TD]vkamata@parliament.go.tz[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Member Status: [/TD]
[TD]Current Member[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Date of Birth [/TD]
[TD]18 September 1978[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="width: 100%"]
[TR]
[TH="colspan: 5, align: left"]EDUCATION[/TH]
[/TR]
[TR]
[TH="width: 35%"]School Name/Location [/TH]
[TH="width: 27%"]Course/Degree/Award [/TH]
[TH="width: 15%"]Start Date[/TH]
[TH="width: 13%"]End Date[/TH]
[TH="width: 10%"]Level[/TH]
[/TR]
[TR]
[TD]Kichangani Primary School, Morogoro[/TD]
[TD]Primary Education[/TD]
[TD]1983[/TD]
[TD]1989[/TD]
[TD]PRIMARY[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Morogoro Secondary School, Morogoro[/TD]
[TD]O-Level Education[/TD]
[TD]1990[/TD]
[TD]1993[/TD]
[TD]SECONDARY[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Mandaka Teachers' Training College[/TD]
[TD]Teaching Course[/TD]
[TD]1994[/TD]
[TD]1996[/TD]
[TD]CERTIFICATE[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Nyakohoja Computer Centre, Mwanza[/TD]
[TD]Diploma[/TD]
[TD]1997[/TD]
[TD]1999[/TD]
[TD]DIPLOMA[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]St. Augustine University[/TD]
[TD]Certificate in Journalism[/TD]
[TD]2001[/TD]
[TD]2002[/TD]
[TD]CERTIFICATE[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Eastern & Southern African Management Institute (ESAMI)[/TD]
[TD]Public Relation& Customer Care Course[/TD]
[TD]2007[/TD]
[TD]2007[/TD]
[TD]CERTIFICATE[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Southampton Solent University, UK[/TD]
[TD]MSc.[/TD]
[TD]2008[/TD]
[TD]2008[/TD]
[TD]MASTERS DEGREE[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="width: 100%"]
[TR]
[TH="colspan: 4, align: left"]EMPLOYMENT HISTORY [/TH]
[/TR]
[TR]
[TH]Company Name [/TH]
[TH]Position [/TH]
[TH]From Date[/TH]
[TH]To Date[/TH]
[/TR]
[TR]
[TD]The Parliament of Tanzania[/TD]
[TD]Member - Special Seat[/TD]
[TD]2010[/TD]
[TD]2015[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Bank of Tanzania (BOT)[/TD]
[TD]Public Relation Officer I[/TD]
[TD]2009[/TD]
[TD]2010[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Bank of Tanzania (BOT)[/TD]
[TD]Public Relation Officer III[/TD]
[TD]2006[/TD]
[TD]2009[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="width: 100%"]
[TR]
[TH="colspan: 4, align: left"]POLITICAL EXPERIENCE [/TH]
[/TR]
[TR]
[TH="class: text_menu, width: 47%"]Ministry/Political Party/Location[/TH]
[TH="class: text_menu, width: 31%"]Position[/TH]
[TH="class: text_menu, width: 12%"]From[/TH]
[TH="class: text_menu, width: 10%"]To[/TH]
[/TR]
[TR]
[TD]Chama Cha Mapinduzi, CCM[/TD]
[TD]Member - Southampton USolet University (UK) Branch[/TD]
[TD]2008[/TD]
[TD]2009[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Chama Cha Mapinduzi, CCM[/TD]
[TD]Secretary - SAUT Branch[/TD]
[TD]2002[/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Chama Cha Mapinduzi, CCM[/TD]
[TD]Member - Mandaka Branch[/TD]
[TD]1996[/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Chama Cha Mapinduzi, CCM[/TD]
[TD]Member[/TD]
[TD]1995[/TD]
[TD]Todate[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="width: 100%"]
[TR]
[TH="colspan: 2, align: left"]PUBLICATIONS[/TH]
[/TR]
[TR]
[TH="class: text_menu"]Description[/TH]
[TH="class: text_menu"]Date[/TH]
[/TR]
[TR]
[TD]V. Kamata: Investigation of Differentiation in University's MBA Programme - A Case Study of Southampton Solet University, UK.[/TD]
[TD]2009[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]V. Kamata: The Impact of Microfinance Scheme in Boasting Women Income - A Case Study of Pride Tanzania, SAUT, Mwanza[/TD]
[TD]2005[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]V. Kamata: Investigation of Differentiation in University's MBA Programme - A Case Study of Southampton Solet University, UK.[/TD]
[TD]2009[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]V. Kamata: The Impact of Microfinance Scheme in Boasting Women Income - A Case Study of Pride Tanzania, SAUT, Mwanza[/TD]
[TD]2005[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]V. Kamata: Investigation of Differentiation in University's MBA Programme - A Case Study of Southampton Solet University, UK.[/TD]
[TD]2009[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]V. Kamata: The Impact of Microfinance Scheme in Boasting Women Income - A Case Study of Pride Tanzania, SAUT, Mwanza[/TD]
[TD]2005[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]V. Kamata: Investigation of Differentiation in University's MBA Programme - A Case Study of Southampton Solet University, UK.[/TD]
[TD]2009[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]V. Kamata: The Impact of Microfinance Scheme in Boasting Women Income - A Case Study of Pride Tanzania, SAUT, Mwanza[/TD]
[TD]2005[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

Kwa mwendo huu!!! elimiu sio kila kitu jamani....bahati ndo kila kitu...
 
Mie kilichonimaliza ni hiyo Certificate of Attendance kwenye semina ya wiki moja pale ESAMI eti nayo inakuwa included as ana academic Certificate kwenye Cv?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom