Mh. Vicky Kamata CV ...[ Mungu tuokoe]

Mh. Vicky Kamata CV ...[ Mungu tuokoe]

Status
Not open for further replies.
Mmmh jamani hongera Vicky Kamata, ngoja tuwatafute watu wa guiness record book waweke kumbukumbu zako
 
Masters Bila Bachelor,

Kuna mmoja nilikua nafanyanae kazi Yupo pale UDOM, anadiploma na ana PhD (Russia), ukimuuliza kitu mamamamamamama heee kesho utaona akikuona anavokua anavibrate. Anakuhamisha ofisi mara mapovu kibao. Hatar sana
 
Ukitoka Diploma sijasema Advanced but Diploma unaingia Masters!!! Tena Say Jan 2008 na December 2008 unamaliza course work na dissertation!!! Itakuwa ni chuo gani hicho? Shikamoo mama mhhhhhhhh !!!!!
 
vick anafuata nyayo za mwenyekiti wa chama Mhe. Dr Dr. Profesa Jk, si muda atamfikia
 
Hivi miaka hiyo kweli aliweza kuanza darasa la kwanza akiwa na miaka mitano??
 
Mambo Ya viti Maalum, hata usomi wao pia unakua Maalum...
 
Mh!!! au ni Masters ya heshima fulani kama wale wengine waliopewa Phd na nchi rafiki zinazotuchekea huku zinatumaliza

Mwingine huyu hapa

Member of Parliament CV
GENERAL
Salutation Honourable
First Name: Deo
Middle Name: Kasenyenda
Last Name: Sanga
Member Type: Constituency Member
Constituent: Njombe Kaskazini
Political Party: CCM
Office Location: Box 190, Makambako, Iringa
Office Phone: +255 754 565678/+255 784 361523
Ext.:
Office Fax:
Office E-mail: dsanga@parliament.go.tz
Member Status: Current Member
Date of Birth 1 January 1956
EDUCATION
School Name/Location Course/Degree/Award Start Date End Date Level
Ikwega Primary School, Mufindi Primary Education 1970 PRIMARY

EMPLOYMENT HISTORY
Company Name Position From Date To Date
The Parliament of Tanzania Member - Njombe North Constituency 2010 2015

POLITICAL EXPERIENCE
Ministry/Political Party/Location Position From To
Chama Cha Mapinduzi, CCM Member - National & Regional Council 2007 2012
Chama Cha Mapinduzi, CCM Chairperson (CCM Iringa Region) 2007 2012
Chama Cha Mapinduzi, CCM Ward Councilor 2000 2010

huyu jamaa safi sana,, hawa ndio watu ninaowakubali... ameonyesha ukweli wa elimu yake ndogo na tumeona imemsaidia kufika hapo alipo.... sasa huyu dada yetu ana masters lakini yuko sawa na STD7 MSC yake haina msaada kwa watu wake...
 
ujanja ujanja tu kama kawaida ya mtanzania,,, elimu za kuunga unga na ujanja ujanja tu ili upate urahisi wa maisha kwa kuwarob watanganyika Masters 2008 - 2008 degree haionyeshi kasoma wapi anyway labda mwenzetu Genius. Hivi vitu serikali inaletea mzaha lakini ni moja ya sababu ziletazo umasikini kwa wadanganyika.... Elimu zisizoeleweka halafu watu wako kwenye taasisi muhimu...
 
Mmmh hii masters mbona kiboko?kutoka 2008 mpaka 2008?miezi mingapi kasoma?
 
Hivi baba wa wale machalii wake ni nani? niambieni kabla sijafika Tz toka huku.
 
Degree amesoma wapi? Mbaya vyuo vyote hivyo haviko accridated

Degree amesoma wapi?
mimi nimeona Diploma then anakwenda Masters tena ya mwaka mmoja!!!! hatareeee!!!

Sijaona Post Graduate au Hata Advance Dip,ingependeza Katibu wake au msaidizi wake angetupa ufafanuzi na sie kina yahee tupate Masters maana tumebaki na certifcate zetu tu za Eagle Wing College mkononi.

Masters Bila Bachelor,

Kuna mmoja nilikua nafanyanae kazi Yupo pale UDOM, anadiploma na ana PhD (Russia), ukimuuliza kitu mamamamamamama heee kesho utaona akikuona anavokua anavibrate. Anakuhamisha ofisi mara mapovu kibao. Hatar sana


Nafikiri nyie mkikutana na mtu aliyemaliza degree kwenda Ph.D bila kusoma Master mtashangaa sana.

Pia mtashangaa sana kumkututa profesa ambaye hana Ph.D.

Hii ni kwa sababu wengi wetu tumekuwa programmed kufikiri in the same way. Bado tuna frikra za zama za Nyerere.

Wengi tunadhani ukimaliza shule ya msingi, unaenda secondary, then A Levels, the degree, then master, then PhD, then ndo unaweza kuupata uprofesa.
 
Habari Wanabodi,

Nilikuwa napitia CV ya Mh. Vicky Kamata,mbunge wa viti maalumu kwakweli ina-encourage watu sana.Ningependa atupe somo sie makanjanja tufike alipofika yeye.Maana na mie nina ka-certificate kangu ka Upendo Vocation Training Center ya Computer.Au kama kuna mtu anaweza akatufafanulia mchakato wa certificate ya vyuo vya mtaani mpaka kupata masters ukoje?

View attachment 231798


Hongera sana dada, Primary School ulianza ukiwa na umri mdogooo (5yrs old) .Kwakweli certificates umezionyesha kazi. Hongea sana.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom