We eleza tu kwanba huyo Mhe ataongea na wana JF usiseme ni hazina anaweza akawa hazina kwako na siyo kwa watu wote.Wapendwa wana ukumbi, JF
Napenda kuwafikishia salamu za utangulizi juu ya kujiunga rasmi kwa aliyekuwa mbunge wa Bukoba mjini kwa tiketi ya CUF mwaka 2000-2005 hapa jukwaani, JF
Mh. Lwakatare atafanya hivyo kesho mida ya mchana. Kama ilivyo ada na utamaduni tunaoujenga hapa jukwaani, tunaombwa kumkaribisha mgeni huyu mwenye hazina muhimu kwa mustakabali wa siasa za nchi yetu.
Binafsi natanguliza shukrani kwa Mh. Lwakatare kwa kukubali mwaliko huu ili aweze kuzungumza moja kwa moja na Watanzania walio katika majukwaa ya mitandao.
Anakaribishwa,
Awe na kifua tu, kifua cha kuchukua maneno maana hapa kuna ya kila aina kutoka kila sehemu ya demographic ya Watanzania.
Aaaaaa.. tunajuaje labda wewe mwenyewe ndio Lwakatare!!!!Wapendwa wana ukumbi, JF
Napenda kuwafikishia salamu za utangulizi juu ya kujiunga rasmi kwa aliyekuwa mbunge wa Bukoba mjini kwa tiketi ya CUF mwaka 2000-2005 hapa jukwaani, JF
Mh. Lwakatare atafanya hivyo kesho mida ya mchana...
Ni vizuri anapoingia JF kwa jina lake lakini asije akakimbia kama Zitto alivyofanya mambo yatakapomgeukia, maana hapa haonewi aibu mtu.
Natumaini alikwisha elezwa hilo. Na nilifurahi kusikia kuwa anawajua hata wale waliojaribu kuingia na majina yao, wakakaribishwa, wakachangia lakini kilipoanza kibano, wakaacha ku-log-in kwa hayo majina. Miongoni mwao ni "Dowans", etc
Ni vizuri anapoingia JF kwa jina lake lakini asije akakimbia kama Zitto alivyofanya mambo yatakapomgeukia, maana hapa haonewi aibu mtu.
Omutwale
Ninamkaribisha sana mpiganaji Rwakatare, ila naomba ukumbushie mkono mtupu huwa haulambwi, asisiste kuwasiliana na Maxence Demelo, kwa ajili ya mambo ya kusaidia JF...
https://www.jamiiforums.com/members/omutwale.html
Ujumbe wako ataukuta, kuusoma na ataufanyia maamuzi mwenyewe
Omutwale, sidhani kama ulikuwa na sababu ya kuja na matarumbeta kwa new member kama tuko wenye harusi pale kipleft cha Impala hotel!!!
Nina wasiwasi na hizi campaign za chinichini hapa.... tutasikia mpaka wabunge wote wanaingia na entourage humu ...akija apige hodi na si kupigiwa hodi
Waitu anyway!!!
Mbona muheshimiwa kimya.....Omutwale Vipi muheshimiwa kapatwa na miguu baridi nini??