Masanilo
Platinum Member
- Oct 2, 2007
- 22,286
- 4,523
Nina hakika alifika hapa jukwaani jana.
Kwa leo na siku 2-3 zinazokuja natumaini atakuwa busy kujiandaa na safari ya kwenda BK kupata ushauri wa wananchi juu ya nini afanye na nini kifuate.
Wananchi watampa majibu juu ya kwa nini ahame CUF, na wanataka ahamie chama gani.
Mwambie asiende CCM tafadhali...asante sana! we might need him upinzani..