Mh. Wilfredy M. Lwakatare kujiunga rasmi na JF kesho


Mwambie asiende CCM tafadhali...asante sana! we might need him upinzani..
 
Mwambie asiende CCM tafadhali...asante sana! we might need him upinzani..

Kama ukiweza soma Nipashe ya leo au MwanaHalisi ya toleo la sasa (not of 2mrw). Pia unaweza kudadisi kwa waliosikiliza Radio WAPO FM jana saa tano mpaka saba. Huko kote Lwaks amesema anaweza kuhama CUF lazima hawezi kamwe kuhamia CCM.

Kuna minon'gono kuwa CCM wametoa offer ya kumpa jimbo na Kagasheki ku-step down kama alivyotangaza. Lakini pia leo hii ujumbe wa CUF taifa umetuma wajumbe Ibwera kwa Baba yake Lwaks kumwomba amshawishi mwanae asitishe mpango wowote wa kuhama chama. Usinihoji zaidi juu ya logic/busara ya CUF kupitia kwa Baba mtu maana mie ni messenger, mimi tu kukufikishia ujumbe.
 
Omutwale

Asante sana nimekusoma mfikishie salaam kwa niaba ya wanaJF...tunamkatakia kila laheri, asiwe cheap kuhongwa jimbo ama chochote...bahati mbaya huku New Zealand sina access ya hayo magazeti, JF hunipa kila kitu...kama Babu akata Kusema atakumbuka kupaste hapa!
 

Kesho ya jana si ndo hii.....mbona kimya? Ngoja tuwe na subira anyway!.....personally I need him to clarify some issues!
 

Omutwale, hii ilikuwa 15/06/2009, Hivi hiyo kesho haijafika, au ulimaanisha siku itakapofika ile siku inayoitwa kesho?.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…