Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sedoyeka nae bwana, mbona hata yeye kafanya advanced diploma then hapo hapo akafanya mastaz halaf PhD ina maana inaruhusiwa kuwa na advanced diploma then ukafanya mastaz
acha uongo . na kama hujui uliza . mwanafunzi aliyemaliza university kenya huwezi kumfananisha wa tanzania hata kidogo. na wakikutana kwenye interview au kazini ndio aibu kabisaaaa. yaani huyu wa tanzania mwenye degree ya bongo anakuwa kama mwanafunzi wa primary tu wa kenya. mwanafunzi kamaliza degree UDSM hata kujieleza haweza je anaweza kweli kupanga business plan ya kampuni yenge management ya watu wa mataifa tofauti. au angalia bunge na sikiliza bunge la kenya hivi mbunge anaweza kufanana kimawazo au akili kama JOSEPH MBILINYI ? unaambiwa rais wa RWANDA mheshimiwa KAGAME ana diploma je unaweza kumfananisha na rais wenu anayeitwa dokta ? au dokta wa kenya unaweza kumhananisha na ma dokta wetu eti dokta JOHN KOMBA , dokta NCHIMBI etc . hayo ndio matokeo ya elimu mbovu, nadhani hata ulisikia kuhusu wale wagombea ubunge wetu wa africa mashariki ambao hata kujieleza english hawawezi. na mfano wa mwisho angalia hao wanautaka kugombea urais uchaguzi ujao kina EDWARD LOWASA , MEMBE ,MBOWE etc . je unaweza kufananisha na nchi gani duniani???
msomi anajaribu ku_legalize plagiarism! kama graduates wa tz ndio mnamawazo ya namna hii mhhhhh.. nimeamini kweli degree za chupi zipo na baadhi zimeshajitokeza kwenye posts zilizonitangulia
acha uongo . na kama hujui uliza . mwanafunzi aliyemaliza university kenya huwezi kumfananisha wa tanzania hata kidogo. na wakikutana kwenye interview au kazini ndio aibu kabisaaaa. yaani huyu wa tanzania mwenye degree ya bongo anakuwa kama mwanafunzi wa primary tu wa kenya. mwanafunzi kamaliza degree UDSM hata kujieleza haweza je anaweza kweli kupanga business plan ya kampuni yenge management ya watu wa mataifa tofauti. au angalia bunge na sikiliza bunge la kenya hivi mbunge anaweza kufanana kimawazo au akili kama JOSEPH MBILINYI ? unaambiwa rais wa RWANDA mheshimiwa KAGAME ana diploma je unaweza kumfananisha na rais wenu anayeitwa dokta ? au dokta wa kenya unaweza kumhananisha na ma dokta wetu eti dokta JOHN KOMBA , dokta NCHIMBI etc . hayo ndio matokeo ya elimu mbovu, nadhani hata ulisikia kuhusu wale wagombea ubunge wetu wa africa mashariki ambao hata kujieleza english hawawezi. na mfano wa mwisho angalia hao wanautaka kugombea urais uchaguzi ujao kina EDWARD LOWASA , MEMBE ,MBOWE etc . je unaweza kufananisha na nchi gani duniani???
acha uongo . na kama hujui uliza . mwanafunzi aliyemaliza university kenya huwezi kumfananisha wa tanzania hata kidogo. na wakikutana kwenye interview au kazini ndio aibu kabisaaaa. yaani huyu wa tanzania mwenye degree ya bongo anakuwa kama mwanafunzi wa primary tu wa kenya. mwanafunzi kamaliza degree UDSM hata kujieleza haweza je anaweza kweli kupanga business plan ya kampuni yenge management ya watu wa mataifa tofauti. au angalia bunge na sikiliza bunge la kenya hivi mbunge anaweza kufanana kimawazo au akili kama JOSEPH MBILINYI ? unaambiwa rais wa RWANDA mheshimiwa KAGAME ana diploma je unaweza kumfananisha na rais wenu anayeitwa dokta ? au dokta wa kenya unaweza kumhananisha na ma dokta wetu eti dokta JOHN KOMBA , dokta NCHIMBI etc . hayo ndio matokeo ya elimu mbovu, nadhani hata ulisikia kuhusu wale wagombea ubunge wetu wa africa mashariki ambao hata kujieleza english hawawezi. na mfano wa mwisho angalia hao wanautaka kugombea urais uchaguzi ujao kina EDWARD LOWASA , MEMBE ,MBOWE etc . je unaweza kufananisha na nchi gani duniani???