Mhadhiri UDOM aliyetaka rushwa ya ngono kwa mwanafunzi afunguliwa shtaka la uhujumu uchumi

Mhadhiri UDOM aliyetaka rushwa ya ngono kwa mwanafunzi afunguliwa shtaka la uhujumu uchumi

Shitaka hilo litatupwa Uchumi anaotaka kuuhujumu ni upi?
Kungekuwa na ukwepaji kodi?

Ina maana huyo dada ana bikira? Si bora angeliwa tu na gamba anapata ataliwa kwa nusu kuku na failure juu.
 
Shitaka hilo litatupwa Uchumi anaotaka kuuhujumu ni upi?
Kungekuwa na ukwepaji kodi?

Ina maana huyo dada ana bikira? Si bora angeliwa tu na gamba anapata ataliwa kwa nusu kuku na failure juu.
Nani kakuambia kutoa uchi ndiyo kigezo cha kufaulu, wakija mtaani wakiajiriwa ni weupeeee hawakai kwenye ajira kwa hawajui kitu, hongo za mapenzi ni za kukemewa sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
jinsi ninavyohangaika katika kupigania uchumi wangu na wa familia kwa ujumla ili tuishi vizuri, halafu ghafla tu mtu anakuja kulihusisha neno pendwa na adhimu la UCHUMI na kitu kama mbunye huwa nakasirika sana. nahisi ni kama kulivunjia heshima neno hilo na matokeo yake linaweza kutuadhibu kwa kujiweka mbali nasi......i mean hali ya maisha kuwa ngumu.
 
Sikujua kama hizi pussy zimebeba uchumi wa danganyika
 
Back
Top Bottom