TASK FORCE
JF-Expert Member
- Apr 7, 2017
- 2,465
- 3,459
Exactly, mfano jiwe, kungekuwa na kipengele iko mapema ,hata mwendazake asingesimamishwa na chama chakeMi nafikiri conclusion nzuri kabla ya watu kupewa uongozi wapimwe akili.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Exactly, mfano jiwe, kungekuwa na kipengele iko mapema ,hata mwendazake asingesimamishwa na chama chakeMi nafikiri conclusion nzuri kabla ya watu kupewa uongozi wapimwe akili.
Kwani lililomteua lilikuwa zima?Mtazamo wangu katika tuhuma za Sabaya upo hapa, ama anasingiziwa, na kama hasingiziwi, basi kichwani sio mzima. Ni psychopath.
Aliyemteua ndiyo hana akili sababu, anajua huyu ni jambazi, alimpaje uDC?Ndie aliyemfunza ujinga mwanae.
Masai hawezi ongoza mtu, utumia kanuni za kuongozea ng'ombe kuongozea watu thus wanafeli
Shida ilianzia hapo, huwezi kumteua Sabaya kama una akili timamuKwani lililomteua lilikuwa zima?
Ili amng'oe Mbowe Hai kuhusu ujambazi wake hakujali,maana alitumia kodi zetu nyingi Sana kuhakikisha anammaliza Mbowe akamalizika yeye.Aliyemteua ndiyo hana akili sababu, anajua huyu ni jambazi, alimpaje uDC?
Muda huu asbh nimesikia wasaf Fm magazeti wakitaja tuhuma nyingine mbili...Naendelea Kusisitiza kuwa mtakuja na ' Threads ' nyingi tu za Kumponda au Kumtetea ila Mimi GENTAMYCINE nisiposikia Hukumu yake kuwa ni ya Kifungo cha Maisha Jela au Kuuliwa ( Kunyongwa kabisa ambacho ndiyo nakiombea 24/7 ) sitoielewa na hata Kuiamini tena Mahakama ya Tanzania na hata Serikali ya Rais Samia.
Bora MUNGU alitusaidia sn kumuondoa diktetaIli amng'oe Mbowe Hai kuhusu ujambazi wake hakujali,maana alitumia kodi zetu nyingi Sana kuhakikisha anammaliza Mbowe akamalizika yeye.
Alikamia kutusomesha namba akaishia kuisoma mwenyewe.
Hali Ingekuwa mbaya sana mbeleniBora MUNGU alitusaidia sn kumuondoa dikteta
MUNGU alijua mapema kabla yetuHali Ingekuwa mbaya sana mbeleni