imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 55,997
- 88,219
Daah ikujua hiyo picha inamaanisha nini utacheka sana😂Who are these people?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Daah ikujua hiyo picha inamaanisha nini utacheka sana😂Who are these people?
Watu kama hawa ndio mama Samia inatakiwa awasikilize sababu jamaa amaeeleza vitu kitaalam,ila wanasiasa wetu wanafiki WANAO JUAJUA kumbe hawajui watampoteza.
Hata akitaka ushauri zaidi adondoke UDSM aongee na malecture watampa benefits nzuri kabisa za umeme wa maji zidi ya vyanzo vingine.
Wewe jitu linalotoa ushauri kipindi chake ndipo kashfa zillikuwa nyingi za ufisadi ktk maswala ya umeme.Mgao ulikuwa kawaida mpaka kufikia masaa 12 kwa siku (wanakata asubuhi kurudi jioni),gesi wakampa mchina.Leo hii wanadai umeme wa gesi umepitwa na wakati,yaani ili mradi ale cha udalali.
Mhandisi mkazi wa mradi wa JNHPP Rufiji maarufu Stiegler's Gorge amesema wanatumia upembuzi yakinifu wa mwaka 1980 na siyo upembuzi wa 1970. Pia design ya 2017 imefanya mabadiliko ya Upembuzi Yakinifu wa 1980. Kitu pekee ambacho hakijabadilishwa kabisa ni upembuzi yakinifu (geology) ya miamba ...
N.B
TANESCO na wahandisi wa mradi wa Umeme wa Bwawa la Julius Nyerere JNHPP kuja kutoa maelezo ya ziada ndivyo inatakiwa ktk kipindi hiki cha uwazi na kuwafahamisha wanufaika yaani wananchi wa Tanzania kufahamu kinachoendelea ktk miradi mikubwa ya pesa nyingi za walipa kodi.
Ndiyo Maengineers wasimamizi wenyewe wa Mradi wa umeme wa Stiegler's Gorge ambao umeanza kubomoka kabla hata maji hayajaanza kujazwa. Hapa kazi tu inaendelea!
Nyie vichwa vyenu mshawapa wanasiasa,ndio maana mmewageuza malaika.Kwani hao nao walisoma hapo hapo jalalani.Ma Lecturer hawa hawa akina Prof. Majalala?
So what's the difference will this make? What's the 1980 gonna change? You guys don't waste your breath and time answering every shit people talks.Mhandisi mkazi wa mradi wa JNHPP Rufiji maarufu Stiegler's Gorge amesema wanatumia upembuzi yakinifu wa mwaka 1980 na siyo upembuzi wa 1970. Pia design ya 2017 imefanya mabadiliko ya Upembuzi Yakinifu wa 1980. Kitu pekee ambacho hakijabadilishwa kabisa ni upembuzi yakinifu (geology) ya miamba ...
N.B
TANESCO na wahandisi wa mradi wa Umeme wa Bwawa la Julius Nyerere JNHPP kuja kutoa maelezo ya ziada ndivyo inatakiwa ktk kipindi hiki cha uwazi na kuwafahamisha wanufaika yaani wananchi wa Tanzania kufahamu kinachoendelea ktk miradi mikubwa ya pesa nyingi za walipa kodi.
1970 report ilitumiwa kama refence tu,Mhandisi mkazi wa mradi wa JNHPP Rufiji maarufu Stiegler's Gorge amesema wanatumia upembuzi yakinifu wa mwaka 1980 na siyo upembuzi wa 1970. Pia design ya 2017 imefanya mabadiliko ya Upembuzi Yakinifu wa 1980. Kitu pekee ambacho hakijabadilishwa kabisa ni upembuzi yakinifu (geology) ya miamba ...
N.B
TANESCO na wahandisi wa mradi wa Umeme wa Bwawa la Julius Nyerere JNHPP kuja kutoa maelezo ya ziada ndivyo inatakiwa ktk kipindi hiki cha uwazi na kuwafahamisha wanufaika yaani wananchi wa Tanzania kufahamu kinachoendelea ktk miradi mikubwa ya pesa nyingi za walipa kodi.
Umetoa angalizo zuri.What I can advise the government right now is to make sure that the natural gas project is also renewed so that these two major electricity projects going together. If we want industrial economy we must have enough and cheap electricity nothing more nothing less.
Last paragraph sound more powerful.we need both projects to work together for industrial uses and social usesSo what's the difference will this make? What's the 1980 gonna change? You guys don't waste your breath and time answering every shit people talks.
We don't need to waste resources and energy to justify the construction of that dam. Every single person who loves this country knows that we need reliable and cheap electricity and that dam will be one of the source so regardless how much they criticize we must stick to the plan. We want it and we are going to do it and no one can stop that.
What I can advise the government right now is to make sure that the natural gas project is also renewed so that these two major electricity projects going together. If we want industrial economy we must have enough and cheap electricity nothing more nothing less.
Thanking You1970 report ilitumiwa kama refence tu,
Nakimalizia hii presentation mpya ambayo ni ndefu sana, unatakiwa uache kazi zako na uisome kwa kutulia. Nitaileta brief yake.
Economic, Technical and Financial Feasibility of the Stiegler’s Gorge Hydropower Project, Tanzania. Review and updated by ,
Elizabeth Kurt's PhD,
Robert Bernstein PhD
Helmut Carstein PhD.
Botões Westburg FC Inst E
Hydropower Sustainability Assessment Protocol
Introduction
According to Tanzania’s 2015 National Energy Policy, availability, affordability, reliability and
access to modern energy services are key ingredients towards socio-economic development.
Current power generation capacity is approximately 1,500 MW, which is very low for a country
with 59 million people. The largest single potential generation project in Tanzania is a
hydropower project at Stiegler’s Gorge on the Rufiji River, which would expand generation
capacity by 2,100 MW. In the latest update of the Power System Master Plan (PSMP) from 2016 - 2022.
In association with the Government of Tanzania and Ethiopian National Hydropower Generation Company, our team has done a thorough and effected review of the following:
Hydropower design
Dam design
Power generation design
Power transmission line design
Over all project implementation planning.
1)DESCRIPTIVE HYDROLOGY-TEAM
2)QUANTITATIVE HYDROLOGY-TEAM
3)HYDROGRAPH ANALYSIS-TEAM
a) the water energy resource sites
b) Evaluation to determine the feasibility of stiglers gorge hydro power dam
c) The criteria considered for site accessibility
d) Load or transmission proximity,
e) Land use,
f) Environmental sensitivities
g) Feasible potential project site
h) Estimates of the power potential
i) Development model not requiring a dam obstructing the watercourse
j) Formation of a reservoir.
k) Penstock running parallel to the stream
Hichi ni Kitabu cha kurasa 360. Cha review ya 2016 kabla ya kuanza ujenzi 2017.
Inawezekana wataalamu wa umeme kwao mwaka 1970, 1980 na 2016 ni miaka sawa? LABDA
Unafahamu maana ya kuhuisha? Au unakurupuka kama unahara.Kumbe ni kweli upembuzi yakinifu haujafanywa? Lkn wamefanya mabadiliko.
Huu ni ujinga. Hayo mabadiliko yamefanywa kwa kuzingatia tafiti zipi???
Umesikiliza maelezo au unapambana na 1980 tuuu.... We cag kichere vipi wwMantiki ni ipi sasa?
yaani leo tupo mwaka 2021 halafu tunajenga bwawa la umeme kutumia upembuzi yanikifu wa mwaka 1980, yaani miaka 40 iliyopita, halafu tunajipongeza!
Kawaida yako mkuu, kama aliyopitia Lissu na wengine akina Saanane uliona ni ya kawaida wala sikulaumuKati ya maamuzi ya kijasiri ya JPM ilikuwa ni hili...
Mhandisi mkazi wa mradi wa JNHPP Rufiji maarufu Stiegler's Gorge amesema wanatumia upembuzi yakinifu wa mwaka 1980 na siyo upembuzi wa 1970. Pia design ya 2017 imefanya mabadiliko ya Upembuzi Yakinifu wa 1980. Kitu pekee ambacho hakijabadilishwa kabisa ni upembuzi yakinifu (geology) ya miamba ...
RIP JPM
Mhandisi mkazi wa mradi wa JNHPP Rufiji maarufu Stiegler's Gorge amesema wanatumia upembuzi yakinifu wa mwaka 1980 na siyo upembuzi wa 1970. Pia design ya 2017 imefanya mabadiliko ya Upembuzi Yakinifu wa 1980. Kitu pekee ambacho hakijabadilishwa kabisa ni upembuzi yakinifu (geology) ya miamba ...
Hebu utumie akili hata ya kuazima. Sikiliza kwa umakini na uelewe maelezo yaliyotolea na mtaalamu. Sio kupinga kila kitu bila kuwa na hoja.Mantiki ni ipi sasa?
yaani leo tupo mwaka 2021 halafu tunajenga bwawa la umeme kutumia upembuzi yanikifu wa mwaka 1980, yaani miaka 40 iliyopita, halafu tunajipongeza!
Mhandisi mkazi wa mradi wa JNHPP Rufiji maarufu Stiegler's Gorge amesema wanatumia upembuzi yakinifu wa mwaka 1980 na siyo upembuzi wa 1970. Pia design ya 2017 imefanya mabadiliko ya Upembuzi Yakinifu wa 1980. Kitu pekee ambacho hakijabadilishwa kabisa ni upembuzi yakinifu (geology) ya miamba ...