Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 16,419
- 26,594
Ha ha haAlijichokea, barakoa iliziba macho na muda wa kuhariri uliisha gazeti likitakiwa kwenda kiwandani kuchapwa 😎!!
Mimi nilipoikia kwa msomaji wa magazeti asubuhi ya leo ambaye hata yeye alionekana hajui! Nikajua Moderators wa Daily News wameunganisha makampuni.View attachment 1450839
Gazeti la leo 15/3/2020, front page Daily News.
Picha ni nzuri lakini ati anayejenga mradi huo ni Yapi Merzeki!!!!!!!
Mhariri naona amechok kazi.
No proof reading na anabeba tu makosa ya waandishi wake.
Hakumbuki gazeti hili la serikali linasomwa dunia nzima.
Lakini na wewe mbona umesahau ku-proof read hapo kwenye Yapi Merzeki, hariri na isomeke Yapi Merkezi.View attachment 1450839
Gazeti la leo 15/3/2020, front page Daily News.
Picha ni nzuri lakini ati anayejenga mradi huo ni Yapi Merzeki!!!!!!!
Mhariri naona amechok kazi.
No proof reading na anabeba tu makosa ya waandishi wake.
Hakumbuki gazeti hili la serikali linasomwa dunia nzima.
Blind leading the Blind....Lakini na wewe mbona umesahau ku-proof read hapo kwenye Yapi Merzeki, hariri na isomeke Yapi Merkezi.
Ndio dunia tunayoishi hiyo. Ni rahisi kuona kasoro za mwenzako kuliko kuona zako.