Mhariri Mtendaji wa Gazeti la MwanaHALISI, Saed Kubenea avamiwa na kumwagiwa tindikali akiwa ofisini kwake

Mhariri Mtendaji wa Gazeti la MwanaHALISI, Saed Kubenea avamiwa na kumwagiwa tindikali akiwa ofisini kwake

Mimi sina ushahidi wa kuhusika kwa serikali ya CCM. Lakini kuna mifano mingi tu huko nyuma inayonipa sababu za kuwa na wasiwasi. Kuna mwanasheria mmoja aliuawa kijambazi na inasemekana huyu ndiye aliyekuwa mwanasheria wa rais mstaaafu. Mpaka leo wauaji wake hawajajulikana. Kuna ripoti zilizowahi kuandikwa magazetini juu ya urafiki wa waziri mkuu na wakuu wa majambazi Arusha---mmojawao ambaye alitolewa jela karibuni, inasemekana baada ya waziri mkuu kukutana na Jaji mkuu aliyeteuliwa katika mahakama ya rufaa. Sasa ukiongezea hii ya mwandishi habari, na hapa hatujasahau yaliyompata marehemu Amina Chifupa na bila kumtaja gavana wetu wa benki kuu, inaniwia vigumu kuwa na imani na serikali yetu ya CCM.

Huyo mwanasheria uliye mzungumzia hapo was my uncle..kwa kweli mimi sio insider but kuna issue hapo..majambazi wamepewa life???...na walishikwa the same day of the incident??? (Tanzania hii..we call those scapegoats)...kisingizio kilikuwa eti kisa vx ndo wakamuua..there is much more than that...Umafia upo CCM miaka nenda rudi..but we shud thank god of this new day and age of information...the winds of change are blowing...na mafisadi wanapanic..na kwakupanic..wanajiumbua...
 
Fisadi mtoto,ha ha ha ha ha

umenikumbusha mbali Kitila,Mnyika,Zitto aka shemeji yetu ccm,walivo waoga ktk siasa za ushindani n kukimbilia ktk kikundi cha wana harakati (chadema).

Karibu saaaaaaaaaanaaa humu ndani uweze kuona jamaa hawa walivorahisi kuaminishwa -ve idea za vikundi vya kama walivo aminishwa kua KUBENEA NI MUHARIRI MKUU WA MWANAHALISI,WHILE HE IS NOT,OR WALIVO AMINISHWA KUA KAMWAGIWA TINDI KALI WHILE NI MAJI YA PILI PILI NA SINEMA YAKE YA KIHINDI.

HAWAJUI KUA AMEPELEKWA INDIA AKAJIFUNZE HOW TO ACT KIHINDI BAADA YA KUONYESHA KIPAJI KTK TUKIO LA HIVI KARIBUNI.


KIDUMU CHA MCHA MAPINDUZI

NA UPINZANI UFE TUENDELEE KUFAIDI NCHI YETU
 
Fisadi mtoto,ha ha ha ha ha

umenikumbusha mbali Kitila,Mnyika,Zitto aka shemeji yetu ccm,walivo waoga ktk siasa za ushindani n kukimbilia ktk kikundi cha wana harakati (chadema).

Karibu saaaaaaaaaanaaa humu ndani uweze kuona jamaa hawa walivorahisi kuaminishwa -ve idea za vikundi vya kama walivo aminishwa kua KUBENEA NI MUHARIRI MKUU WA MWANAHALISI,WHILE HE IS NOT,OR WALIVO AMINISHWA KUA KAMWAGIWA TINDI KALI WHILE NI MAJI YA PILI PILI NA SINEMA YAKE YA KIHINDI.

HAWAJUI KUA AMEPELEKWA INDIA AKAJIFUNZE HOW TO ACT KIHINDI BAADA YA KUONYESHA KIPAJI KTK TUKIO LA HIVI KARIBUNI.


KIDUMU CHA MCHA MAPINDUZI
Huyu Kubenea aka Sauli ni msanii kwelili maana wakati akiwa na waandishi wenzake alikuwa kwa raha zake anaongea nao kafumbua macho,mara akambiwa kuwa JK anakuja.akapanda kitandani na kufumba macho,akajifanya kuwa haoni kabisa.nadhani sasa tumwite Amitha Bachani wa tanzania
 
Hayo ni maoni yako,jina langu halina tofauti na lako,kwani wewe unawajua wanakijiji wa tanzania,ambao ata kompyuta hawajui ni nini sasa utakuwaje wewe? Nachojua ni kuwa wote nyie mnatamani kuila keki ya taifa bt hamna nafasi ya kuingilia mnaishia kushika chaki darasani.Wenzenu wazazi wetu waliona mbali tukasoma course zenye kazi bora siyo uteacher kaka Kitila,,

Now, this is straight talk.
Bahati mbaya kwenu ni kwamba tsunami itawazoa nyote. That is the sad news.
 
Huyu Kubenea aka Sauli ni msanii kwelili maana wakati akiwa na waandishi wenzake alikuwa kwa raha zake anaongea nao kafumbua macho,mara akambiwa kuwa JK anakuja.akapanda kitandani na kufumba macho,akajifanya kuwa haoni kabisa.nadhani sasa tumwite Amitha Bachani wa tanzania

Watu wngine bwana!! Mwenzenu kaumia nyie mnafanya mzaha...
 
Huyu Kubenea aka Sauli ni msanii kwelili maana wakati akiwa na waandishi wenzake alikuwa kwa raha zake anaongea nao kafumbua macho,mara akambiwa kuwa JK anakuja.akapanda kitandani na kufumba macho,akajifanya kuwa haoni kabisa.nadhani sasa tumwite Amitha Bachani wa tanzania

Acha utoto wewe, umeshakuwa sasa...
 
Kubenea akiwa na Hawa Ghasia na Balozi wa Tanzania, India, John Kijazi
 

Attachments

  • Kube-Delhi-2.jpg
    Kube-Delhi-2.jpg
    4.4 KB · Views: 46
Naendelea kujiuliza, hivi sisi hata tindikali hatuwezi kutibu kweli? Tatizo ni nini hasa: walaamu, vifaa au nini?
 
Kitila:
Unauliza maswali ya msingi sana, ambayo naona hayana majibu rahisi.

Huduma za afya za 1970s hadi 1980s mwanzoni naona zilikuwa ni bora mara kumi zaidi ya hizi za leo.

Haieleweki kumetokea nini Tanzania.
Na hii sio katika nyanja ya afya pekee, ni kila sehemu; hata ujenzi wa barabara, n.k. Ni kama nchi hii ime-paralyze au imekuwa katika hali ya kuzirai kwa miaka kadhaa hivi, na sasa ndio inazinduka na kuanza upya kabisa katika kila jambo; hadi SIASA zenyewe. Kila kitu tunajifunza upya, na kabla ya kufuzu, inabidi tuwategemee India, Afrika Kusini na Kenya (kutufikishia watalii wetu nyumbani n.k.)
 
Kubenea akiwa na Hawa Ghasia na Balozi wa Tanzania, India, John Kijazi

hivi Eng. John Kijazi alipekwa kuwa Balozi lini?baada ya kutolewa ujenzi nini?yaani hii tabia ya kure-circle viongozi mie hata siielewi.itaisha lini?

huu mfumo inabidi ungoke na mie Gembe(Jembe) nitasaidia kuwalima mpaka wang'oke.Tunahitaji CCM Madhubuti na Viongozi Safi ili nchi iende Mbele.
 
Kitila:
Unauliza maswali ya msingi sana, ambayo naona hayana majibu rahisi.

Huduma za afya za 1970s hadi 1980s mwanzoni naona zilikuwa ni bora mara kumi zaidi ya hizi za leo.

Haieleweki kumetokea nini Tanzania.
Na hii sio katika nyanja ya afya pekee, ni kila sehemu; hata ujenzi wa barabara, n.k. Ni kama nchi hii ime-paralyze au imekuwa katika hali ya kuzirai kwa miaka kadhaa hivi, na sasa ndio inazinduka na kuanza upya kabisa katika kila jambo; hadi SIASA zenyewe. Kila kitu tunajifunza upya, na kabla ya kufuzu, inabidi tuwategemee India, Afrika Kusini na Kenya (kutufikishia watalii wetu nyumbani n.k.)

This very confusing and frustrating indeed! ndio maana JK hata akimtembelea mgonjwa hospitali anasifiwa. Kumbe ana lipi zaidi la kusifiwa na CCM yake!
 
Nadhani tatizo siyo tindikali ila macho yaliyoharibiwa na hiyo tindikali

Sawa, lakini ndio bado nauliza hapohapo ina maana sisi zile sifa zote za Muhimbili na maprofesa wale wanaotamba sana mitaani na kwenye vilabu vya pombe bado hatuwezi kutibu macho?
Yaani 45 years of medical training hatuwezi kutibu macho yaliyougunzwa na tindikali? Sio lazima nipewe jibu hapa, lakini naendelea kujiuliza tu!
 
Sawa, lakini ndio bado nauliza hapohapo ina maana sisi zile sifa zote za Muhimbili na maprofesa wale wanaotamba sana mitaani na kwenye vilabu vya pombe bado hatuwezi kutibu macho?
Yaani 45 years of medical training hatuwezi kutibu macho yaliyougunzwa na tindikali? Sio lazima nipewe jibu hapa, lakini naendelea kujiuliza tu!

Ukienda Botswana, Angola, Namibia, na hata huko majuu utawakuta wataalam wa matibabu wengi tu waTanzania; tena wanaosifiwa kwa kazi zao nzuri.
Ukienda bungeni pale Dodoma, ukimuuliza Professor Mtulia, mambo ya matibabu ya moyo, atakueleza CCM imekataa kuwapelekea wananchi wake kule Rufiji umeme kwenye vijumba vyao vya nyasi na udongo. Hali ni hiyo hiyo ya kukubabaisha hata ukiwauliza maprofessor na wenye digrii zao za 'uvamizi'katika fani zao mbalimbali. Kwa ufupi, hawajui hata katika maeneo ya utaalam wao kunafanyika nini leo hii.

Si hivyo tu, ukienda pale Mhimbili, umtafute mtaalamu katika eneo lolote la utaalaam; ukimuuliza alisoma lini 'research paper' ya mambo mapya yanayoendelea katika eneo lake la utaalamu, pengine atakwambia miaka kumi iliyopita. Sana sana sasa hivi anatumia tu ile elimu aliyoipata kuendelea na kazi anayoifanya. Jambo kubwa analoweza kuwa fundi zaidi ni kufuga ng'ombe wa maziwa, au kujua jinsi ya kuendesha biashara ya daladala.
 
elimu ya kuhusudu vyeti badala ya utaalamu ina matatizo sana, hata wale wenye ma PHD wataalamu haswa wa kufanya kazi ikafanyika ni wachache mno.


tuna haja ya kuangalia upya mfumo wa elimu yetu,either uwe service oriented au academic oriented (kama ulivyo sasa) tuchague moja. mimi sioni sababu ya kufundisha maengineer theory za kiengeneer lakini ukitoka hapo hawezi kutoa huduma ya kueleweka kwa mujibu wa field yake. bora tutrain tuwe specific, kama tunatrain madokta wa moyo, basi toka mwaka wa kwanza chuo kikuu wausome huo moyo,au kama ni computer software waisome hiyo toka mwaka wa kwanza,wakimaliza watakuwa wakali vibya mno katika field zao, lakini sisi tatizo tunaweka mambo meeengi katika kozi, nyingine wala haziendani na target ya unachotaka kukisoma.matokeo yake tunawakwaza wanafunzi na wengine wanagraduate ukimuuliza alijifunza nini mwaka wa kwanza vyote vimeisha "evaporate".

Elimu yetu ya kiafrika nilazima iwe ni elimu ya huduma kwa jamii masikini,tukigeza mfumo wa elimu wa wazungu hatufiki popote,tutaishia kupeleka watoto 1000000 kuanza darasa la kwanza lakini katika hao watakao graduate hawafiki 80000, ambao nao miongoni mwao wenye uwezo wa kuihudumia jamii kisawasawa ni wachache
 
Quote: Shakazulu
Nadhani tatizo siyo tindikali ila macho yaliyoharibiwa na hiyo tindikali

Sawa, lakini ndio bado nauliza hapohapo ina maana sisi zile sifa zote za Muhimbili na maprofesa wale wanaotamba sana mitaani na kwenye vilabu vya pombe bado hatuwezi kutibu macho?
Yaani 45 years of medical training hatuwezi kutibu macho yaliyougunzwa na tindikali? Sio lazima nipewe jibu hapa, lakini naendelea kujiuliza tu!

Kitila na wana JF, pamoja na kuwa bado kuna tatizo katika tiba zetu (ukikumbuka waliopasuliwa kwa makosa), suala muhimu zaidi hapa ni je, yakitokea makosa ama kama kuna kusudio la kumfanya Kubenea asione, tutafanya nini? Hapo itakua hakuna namna zaidi ya kutoa pole na lawama. Lakini pia kwa usalama wake ilibidi tu, ama arudi nyumbani ama aende kutibiwa nje ya nchi japo huko wanaweza kumfuata kama walivyomfuata Ballali na pengine hata Mwalimu
 
Kitila na wana JF, pamoja na kuwa bado kuna tatizo katika tiba zetu (ukikumbuka waliopasuliwa kwa makosa), suala muhimu zaidi hapa ni je, yakitokea makosa ama kama kuna kusudio la kumfanya Kubenea asione, tutafanya nini? Hapo itakua hakuna namna zaidi ya kutoa pole na lawama. Lakini pia kwa usalama wake ilibidi tu, ama arudi nyumbani ama aende kutibiwa nje ya nchi japo huko wanaweza kumfuata kama walivyomfuata Ballali na pengine hata Mwalimu

sijaelewa bado hapo.
 
Kitila na wana JF, pamoja na kuwa bado kuna tatizo katika tiba zetu (ukikumbuka waliopasuliwa kwa makosa), suala muhimu zaidi hapa ni je, yakitokea makosa ama kama kuna kusudio la kumfanya Kubenea asione, tutafanya nini? Hapo itakua hakuna namna zaidi ya kutoa pole na lawama. Lakini pia kwa usalama wake ilibidi tu, ama arudi nyumbani ama aende kutibiwa nje ya nchi japo huko wanaweza kumfuata kama walivyomfuata Ballali na pengine hata Mwalimu


Breeeeki..! say what?
 
Kitila na wana JF, pamoja na kuwa bado kuna tatizo katika tiba zetu (ukikumbuka waliopasuliwa kwa makosa), suala muhimu zaidi hapa ni je, yakitokea makosa ama kama kuna kusudio la kumfanya Kubenea asione, tutafanya nini? Hapo itakua hakuna namna zaidi ya kutoa pole na lawama. Lakini pia kwa usalama wake ilibidi tu, ama arudi nyumbani ama aende kutibiwa nje ya nchi japo huko wanaweza kumfuata kama walivyomfuata Ballali na pengine hata Mwalimu

Kweli Kabisa,

Jamaa wangeweza kumfanyizia pale Muhimbili na kisha kusingizia kuwa wamechanganya operation ya kichwa na ya miguu kama ile nyingine. Unajua nimeanza kuwa na wasiwasi na hizi ziara mara ya Kikwete kule Muhimbili na hii ya Ghasia kule India. Kwa nini all of sudden serikali imekuwa concerned na Kubenea?

Halisi tupe mambo kwa sababu hata mimi nimeanza kuunganisha issue ya Nyerere, Balali, Kighoma na hii ya Kubenea. Mhh labda wasiwasi wangu tu!
 
Back
Top Bottom