Mlalahoi, kwanini tunaconclude kuwa kanunuliwa? why cant we say that he has a different opinion from the "majority"? I for one, do not believe anything Mwakyembe says in this saga especially after it was revealed that he is also fighting to enrich himself in the power generating business. Absalom anaweza kuwa naye amegundua hadaa ya Sitta na Mwakyembe na kwa kung'amua kuwa hawa watu hawana nia njema basi akaamua kusema aichosema.
Hivi tunataka tuseme kuwa TANESCO hawana utaalamu wa kugundua mitambo mizuri na mibovu? Kama wao wameona kuwa mitambo ya Dowans ni suruhisho la muda la matatizo ya umeme, kwanini sisi ambao hatuna utaalamu wowote katika eneo hilo tunasema kuwa wamenunuliwa!! Mwakyembe na Sitta ni wanasheria! Shelukindo hana utaalamu wowote wa umeme na hawajasema ni wapi wametoa hiyo thesis kuwa mitambo ya DOWANS haiwezi kuzalisha umeme tunaohitaji kwa muda huu. Na tusisahau kuwa mitambo ya DOWANS ingenunuliwa ingekuwa kwa ajili ya "emergencies" na sasa giza tumeanza kuliona.