Mhasibu anahitajika haraka

Mwangaza

Senior Member
Joined
Feb 26, 2008
Posts
198
Reaction score
64
Wana JF.

Tunahitaji mhasibu mwenye Diploma ya Accounts. Msichana/Mwanamke mwenye sifa atapewa upendeleo.

Tuma CV yako kwa shimitz2010@gmail.com


Director.

SHIMI ENTERTAINMENT

DSM
 
Mimi he siwezipata upendeleo ?.
 
thanx for that info,wakikosa wanitafute cz i will be happy to help them out on weekends as part timer with less salary!!!!i got bachelor degree,ts nt required according to the post
 
Mbona mnabagua kwa kwenda mbele! Hivyo vijana wa kiume waendelee kushinda vijiweni bila ajira rasmi shauri ya waajiri wabaguzi.
 
Mnataka muwe mnaenda nae disco si ndiyo.. Katafuteni Facebook.
 
Huu ni upendeleo haswaaa,kwann wasichana tu? Wapeni na wavulana wakuu
 
mnh kuna uwalakini juu ya hii kazi ina maana wanaume kapuni???
 
je sie tuliosoma bachelor za management hatuhitajiki maana account pia tulisomaga lol
 
Hana aibu kabisa, eti msichana tu??whyy iwe hivyoi?
 
je anatakiwa awe na ujuzi wa muda gani?
 
AHSANTENI SANA,

Tumepata CVs za kutosha, tunafanya upembuzi wahusika tutawasiliana nao. NAOMBA ZISITUMWE CV ZAIDI.,tulizopata zinatosha.

Nilisema wasichana watapewa "upendeleo", Neno "upendeleo" halimaanishi "pekee".

Ingawa kwenye sekta ya fedha kina mama wameonakana kuitendea haki zaid (japokuwa sio wote), sio kwamba ataajiliwa mtu sababu ya jinsia yake..hapana ,vigeo kwanza.


AHSANTENI SANA.


Director
SHIMI ENTERTAINMENT.
 

Nini maana ya SHIMI? una entatain nini? Ebu tupe dondoo za kazi ya kampuni yako.
 
je anatakiwa awe na ujuzi wa muda gani?

Awe msichana tu tukishampa interview tutajua ujuzi wake usitake kuyajua mengi mkuu maana kama una bint wa karibu ukashindwa kumpa ma contract bureeeeeeee.

ma contract*
Contacts
 

Inaonekana SHIMI viwango vyake ni kama ulivyojipresent hapo juu.
 
Nini maana ya SHIMI? una entatain nini? Ebu tupe dondoo za kazi ya kampuni yako.


SHIMI ni kifupi cha neno SHIMIMANA neno la kibantu maana yake ni "Mshukuru Mungu", Kwa kifupi tu..kampuni inahusika na kuandaa matamasha,seminars, programs mbalimbali za radio na Tv,makongamano, usambazaji wa bongo movies, promotion za bidhaa mbalimbali ( mfano; tumeshafanya na voda,tigo(buzz enz hizo) ect), kusherehesha sherehe mbali mbali za kijamii n.k n.k...hata kama ukiwa na shughuli ya Harusi, graduation au sendoff tutakupatia huduma nzuri ya muziki na MC.
PIA TUPE DILI, Mkuu.



Director
SHIMI ENTERTAINMENT
+255 653 048 488
[TABLE="class: uiInfoTable mtm profileInfoTable"]
[TR]
[TD="class: data"]
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
 
kaka nimetuma cv sasa hope utaichukuma maana hamkuweka deadline na kazi tunaitaka wengi. Gday
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…