anakamatika ila waliopewa mamlaka yakuwakamata wanamsubiri JK hadi aseme, dunia ya kwanza mtu akiapa kuilinda katiba na sheria za nchi yake kweli anawajibika kulinda maslahi ya UMMA si maslahi binafsi ya Rais, hawa kina DPP wanamuogopa RA kwasababu ya upatina wake na JK, wanahofu iwapo watamkamata kabla ikula haijasema vibarua vyao huwa shakani, hawapo pale kwa maslahi ya Taifa ila kulinda wala rushwa ambao ni maswahaba na mzee aka bwana mkubwa.
hebu tazama kasi ya kujiuzulu ya watu wa usalama kule USA na UK baada ya Blair na Bush Kuingiza nnchi katika matatizo yza vita ya Iraq, makamanda wawili USA waliachia ngazi kupinga kuiingiza nchi kwenye mission ambayo ingefail, hawakua wanasiasa hawa , walikua watendaji wanaolinda maslahi ya UMMA.
angalia DPP, SIJUI ANAFANYA NINI, Inafikia mahala watendaji wa idara nyeti wanarumbana hadharani wakitupiana mpira, hapo ndo ujue hawapo kwa maslahi ya umma, ila kulinda mkate wao wa kila siku.
hawafanyi lolote hadi ikulu iseme kamata yule na sasa JK kauchuna kuwaambia kamata RA, Manji ama mzee wa vijisenti.