Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mtaongea sana ila Magu tutamkumbuka kwa mazuri kama alivyosema R.I.P my hero PresidentKwani lugola alifanywa nini???? Si aliishia kuitwa takukuru wakapiga kimya chini na huyo mwendazake, hebu muwe na kumbukumbu
Unajuaje hakuna ubadhirifu uliofanywa na rais aliyepita?Hakuna ubadhirifu uliofanywa na Rais aliyepita, ubadhirifu ulifanya na viongozi wasio kuwa na maadili wakiwemo Mawaziri, makatibu wakuu na maafisa suuri wengine katika sekta mbalimbali.
Kama tunataka kumuenzi JPM Basi tuwawajibishe wanaohusika Kama ambavyo angeafanya endapo angekuwa hai.
Kuacha kuwawajibisha nikuruhusu wizi mkubwa zaidi na kisha kumtupia lawama Rais aliyepo Sasa.
Jibu kwanza hilo msije na mipasho tu kama vile mnaongea na watoto wadogo wasiotambua lolote, chini ya huyo muuwaji wenu lugola alifanywa nini?mtaongea sana ila Magu tutamkumbuka kwa mazuri kama alivyosema R.I.P my hero President
tulimpumzisha aendelee na majukum mengineJibu kwanza hilo msije na mipasho tu kama vile mnaongea na watoto wadogo wasiotambua lolote, chini ya huyo muuwaji wenu lugola alifanywa nini?
Kwahiyo mlimaliza yaani... Kashfa ya trillion za hela mnaishia kumpumzisha imeisha sio? Haya na kigwangala kabla hajatolewa kwenye uwaziri alikuwa na korokocho la billion 2.5 mlifamya nini?tulimpumzisha aendelee na majukum mengine
Kili challengeKwahiyo mlimaliza yaani... Kashfa ya trillion za hela mnaishia kumpumzisha imeisha sio? Haya na kigwangala kabla hajatolewa kwenye uwaziri alikuwa na korokocho la billion 2.5 mlifamya nini?
Unaniuliza au unajibu?, achana na uozo wa ripoti ya mwaka 2019..2020...kigwa Ana korokocho ripoti ya 2018..2019......mlimfanya nini?Kili challenge
Una hoja mkuu. Yani hata huyu Sasha aliyepo sasa kwenye usukani anapaswa kuwajibika, si ndio alikuwa msaidizi sasa alikuwa anasaidia majizi?Hakuna ubadhirifu uliofanywa na Rais aliyepita, ubadhirifu ulifanya na viongozi wasio kuwa na maadili wakiwemo Mawaziri, makatibu wakuu na maafisa suuri wengine katika sekta mbalimbali.
Kama tunataka kumuenzi JPM Basi tuwawajibishe wanaohusika Kama ambavyo angeafanya endapo angekuwa hai.
Kuacha kuwawajibisha nikuruhusu wizi mkubwa zaidi na kisha kumtupia lawama Rais aliyepo Sasa.
Unaniuliza au unajibu?, achana na uozo wa ripoti ya mwaka 2019..2020...kigwa Ana korokocho ripoti ya 2018..2019......mlimfanya ninrejea
hahahahah duh watu wanachimbua makaburi? hahahahahahhaUna hoja mkuu. Yani hata huyu Sasha aliyepo sasa kwenye usukani anapaswa kuwajibika, si ndio alikuwa msaidizi sasa alikuwa anasaidia majizi?
Fikiria kwa kutumia kichwa mkuu.Wizi huo ulifanyika chini ya utawala wake.
Ahhahahahahah watetezi mje taratibu humu watu tuna kumbukumbu zetu hatupelekwi kama gari bovu...... Jioni njema bosshahahahah duh watu wanachimbua makaburi? hahahahahahha
bora mirembe kuliko kuishi na jamii ya watu kama wewePeleka Mirembe huyu
Hivi unakataaje rushwa halafu hutaki kukaguliwa? Yeye ndiye mla rushwa namba moja.Hakuna ubadhirifu uliofanywa na Rais aliyepita, ubadhirifu ulifanya na viongozi wasio kuwa na maadili wakiwemo Mawaziri, makatibu wakuu na maafisa suuri wengine katika sekta mbalimbali.
Kama tunataka kumuenzi JPM Basi tuwawajibishe wanaohusika Kama ambavyo angeafanya endapo angekuwa hai.
Kuacha kuwawajibisha nikuruhusu wizi mkubwa zaidi na kisha kumtupia lawama Rais aliyepo Sasa.
"Tunaandamana Jumatatu aongezewe mitano tena, hapa ni mpaka 2035," Chato Inc and Sukuma Gang
Mungu fundi haswa [emoji23][emoji23]
Narudia tenabora mirembe kuliko kuishi na jamii ya watu kama wewe
Chato Gang.wewe umezaliwa nchii kweli? au ndo wale wakimbikizi au vibaraka...mwenye macho haambiwi tazama Mazuri ya Magufuli yanaonekana na ameacha alama zisizofutika katika Nchi hii na alama hizi karibu mikoa na wilaya zote za Tanzania.... haya tupe status za wapiga dili enzi hizo walifanya nini