Mhe. Tundu Lissu, Please Acha Kumsulubu Spika Wetu! Unammaliza Kabisa Hadi Ameshindwa Kazi!

Mhe. Tundu Lissu, Please Acha Kumsulubu Spika Wetu! Unammaliza Kabisa Hadi Ameshindwa Kazi!

Lissu alimnyanyasaga sana Spika Makinda, kwa Spika Ndugai amembananisha.

Pole Tundu Lissu.
P
 
Leo ni Tundu Lissu day, ilikuwa arejee, leo, japo hakurejea, tunamuadhimisha kwa kumtafakari kwa sababu


Leo siku ya tarehe 7/Sept. 2019 ni siku ya kumbukumbu ya miaka miwili toka Mh.Tundu Lisu aliposhambuliwa kwa risasi na watu wasiojulikana. Mpaka leo bado wasiojulikana hawa bado hawatajulikana na uchunguzi mkubwa, makini na mkali wa Jeshi letu adilifu la polisi, unaendelea kuwabaini wasiojulikana hawa, hivi sasa kuna mashuhuda wawili muhimu sana, wanasubiriwa wao tuu kuhojiwa ndipo taarifa rasmi ya polisi kuhusu maendeleo ya uchunguzi huu ndipo ilatolewa.


Tuvute subra.

Get well soon Mhe. Tundu Lissu and welcome back home.

P
 
Mayalla, wewe na Lissu mnalingana?
Ona aibu mdogo wangu.
No mimi na Lissu, hatulingani, japo tulikuwa shule moja Ilboru, mimi nikiwa A level, Lissu alikuwa O-level hivyo kwa Lissu mimi ni Kaka yake, na yeye ni mdogo wangu.
Nimeisha mzungumza sana Lissu humu jf.
Kama hapa, Jee 2020 kuna mtu atamsulubu?.
P
 
Wanabodi,

Leo nimepata fursa ya kuliangalia bunge live asubuhi hii kupitia TBC-1,
Nawauliza wajameni, hivi hiki anachofanya Mhe. Lissu na wabunge wengine wa upinzani, kumsubulu Madam Spika ambaye ni mwanamke bila huruma, ni sawa kweli?!.

Kiafrika, wanawanake ni ni watu wa kubembelezwa na kuonewa huruma!, hivi hawa wabunge wa upinzani ni watu wa aina gani wasio hata na huruma kwa wanawake?!, leo ilibakia kidogo tuu madam spika angelia!, jee hiki wanachofanya ni sawa kweli?!. Ni haki?!.

Nawaomben wabunge wa upinzani tumtendee haki Spika wetu aendesha Bunge kwa haki na kujiamini!. Pia tunamuomba Tundu Lissu aache kumuonea Spika mwanamke, asubiri tupate tena Spika mwanaume mwenzake ndio wapambane, Kiafrika sio vizuri kwa mwanaume kupambana na mwanamke, huku ni kumuonea.

Atakapokuja kutokea Spika mwamume kama Spika Sitta ndio Lissu apambane na sio kumyanyasa Mwanamke.

Pasco.
Hili lilikuwa ni ombi la zamani kumuomba Lissu asimsulubu Mwanamke, leo Lissu anarejea na atahutubia viwanja vya Mwembe Yanga Temeke, ombi hili sasa ni kwa kiongozi Mwanamke aliyepo sasa!.

Dear School mate Tundu Lissu, najua umepitia makubwa. Welcome back home. Nakuomba sana upunguze kidogo kuliishi jina lako, usimsumbue huyu Mama kama ulivyomsumbuaga yule Madam, Mwenyekiti wako Mbowe tayari ameisha onyesha uungwana na ustaarabu mkubwa, wa hali ya juu@, please do the same!, tufanye siasa za kiungwana na kistaarabu. Kubebwa bebeka, ukipedwa pendeka, ukishikwa shikamana, ukiaminiwa jiaminishe!.
Yaliyopita si ndwele, samehe, tugange yajayo tusonge mbele!.
Welcome back home.
Your school mate
Pasco
 
Hili lilikuwa ni ombi la zamani kumuomba Lissu asimsulubu Mwanamke, leo Lissu anarejea na atahutubia viwanja vya Mwembe Yanga Temeke, ombi hili sasa ni kwa kiongozi Mwanamke aliyepo sasa!.

Dear School mate Tundu Lissu, najua umepitia makubwa. Welcome back home. Nakuomba sana upunguze kidogo kuliishi jina lako, usimsumbue huyu Mama kama ulivyomsumbuaga yule Madam, Mwenyekiti wako Mbowe tayari ameisha onyesha uungwana na ustaarabu mkubwa, wa hali ya juu@, please do the same!, tufanye siasa za kiungwana na kistaarabu. Kubebwa bebeka, ukipedwa pendeka, ukishikwa shikamana, ukiaminiwa jiaminishe!.
Yaliyopita si ndwele, samehe, tugange yajayo tusonge mbele!.
Welcome back home.
Your school mate
Pasco
Umeamkaje mzee wangu
 
Wanabodi,
Mhe. Tundu Lissu ndiye anayeongoza kwa kuleta vurugu aliponyanyuka akamvurumishia tena Makombora mazito, na kama angeendela kidogo tuu!, Spika ange break down kwa machozi!. (Naamini akifika ofisini kwake, atajifungia kidogo na kuimalizia hasira yake the same way wanawake wote wanamalizaga hasira zao!).

Kwa kuzingatia sifa kuu iliyomfanya Mama kuchaguliwa akiujua fika uwezo wa Madam kwanini anaendelea kumsulubisha kila apatapo fursa?!. This is not fair!.

Kwa vile Mama amepewa cheo kwa ajili ya gender issue, kwa uzi huu, namuomba Mhe. Tundu Lissu na Kambi ya Upinzani, wanapokuwa na hoja za msingi, wamuaddress Madam with courtesy of addressing a decent, honorable lady, ili ku restore confidence ambapo kwa sasa, ameshindwa kabisa, kwa hasira,

Nawauliza wajameni, hivi hiki anachofanya Mhe. Lissu na wengine kumsubulu Madam ambaye ni mwanamke bila huruma, ni sawa kweli?!.

Kiafrika, wanawanake ni ni watu wa kubembelezwa na kuonewa huruma!, hivi hawa wapinzani ni watu wa aina gani wasio hata na huruma kwa wanawake?!, leo ilibakia kidogo tuu madam angelia!, jee hiki wanachofanya ni sawa kweli?!. Ni haki?!

Nawaombeni wapinzani tumtendee haki Madam wetu aendesha kwa haki na kujiamini!. Pia tunamuomba Tundu Lissu aache kumuonea mwanamke, asubiri tupate tena mwanaume mwenzake ndio wapambane, Kiafrika sio vizuri kwa mwanaume kupambana na mwanamke, huku ni kumuonea.

Atakapokuja kutokea mwamume ndio Lissu apambane na sio kumyanyasa Mwanamke.

Pasco.
Wanabodi,
Leo nimelikumbuka bandiko hili kuhusu TL kukosesha mtu usingizi baada ya kuiangalia clip hii
View: https://youtu.be/UXFoyKtbEEA?si=l6IxoAUVEFFWXWSP

Usikute TL anamkosesha mtu usingizi!, halafu itokee TL ndie asimame nae 2025!, na alivyo hana break... si kuna mtu ataogeshwa .... kila uchao?.
Hapa ni ninauliza tuu!.

Ndio maana nimeshauri, kama mgombea wa urais wa chama kubwa 2025 ni mwanamke, then vyama vyote viweke wagombea urais wanawake wapambane na sio jitu dume zima lipambane ma majike!.

Hivyo nikapendekeza Iwapo Watanzania wataamua 2025 twende na Mwanamke, mnaonaje tukiwashauri CHADEMA wasimamishe Mwanamke? Maana Mwanaume kushindwa na Mwanamke ni aibu!

Na endapo wapinzani watakuwa hawana kabisa mwanamke ambaye ni match na mgombea wa chama kubwa hivyo ni lazima kumsimamisha mwanaume, then mgombea wa upinzani asiwe TL ili kumstahi mgombea mwanamke, maana jinsi TL asivyo na breki, hachelewi kumuogesha na mvua ya ... TL saizi yake alikuwa JPM na sio huyu Maza Uchaguzi 2020 - Tundu Lissu ndiye asimame na Magufuli 2020? Ameonyesha uwezo zaidi ya Magufuli!

hivyo nimeshauri mgombea wa upinzani awe Kama CCM Itamsimamisha Rais Samia 2025, Mnaonaje Freeman Mbowe Awe Mgombea wa Upinzani? Atapiga Ndege 3 kwa Jiwe Moja, Atavuna Wabunge Wengi ila... sababu ya kupendekeza FM ni kufuatia kukubali maridhiano na CCM kugawana nusu mkate, TL anayabeza maridhiano Msikie Tundu Lissu Hapa, Anauliza Kama Wenzake Wana Akili Kweli! Maridhiano Ayaita Ujinga. Je, Lissu Bado ni Asset or Sasa ni A Liability?

Hili mnalionaje?.

P
 
Wanabodi,
Mhe. Tundu Lissu ndiye mbunge anayeongoza kwa kuleta vurugu bungeni, na Lissu aliponyanyuka kuomba muongozo wa Spika, akamvurumishia tena Spika Makombora mazito, na kama angeendela kidogo tuu!, Spika Makinda ange break down kwa machozi!.

Nawauliza wajameni, hivi hiki anachofanya Mhe. Lissu kumsubulu Madam Spika ambaye ni mwanamke bila huruma, ni sawa kweli?!.

Kiafrika, wanawanake ni ni watu wa kubembelezwa na kuonewa huruma!, hivi hawa wabunge wa upinzani ni watu wa aina gani wasio hata na huruma kwa wanawake?!, leo ilibakia kidogo tuu madam spika angelia!, jee hiki wanachofanya ni sawa kweli?!. Ni haki?!
tunamuomba Tundu Lissu aache kumuonea Spika mwanamke, asubiri tupate tena Spika mwanaume mwenzake ndio wapambane, Kiafrika sio vizuri kwa mwanaume kupambana na mwanamke, huku ni kumuonea.

Atakapokuja kutokea Spika mwamume kama Spika Sitta ndio Lissu apambane na sio kumyanyasa Mwanamke.

Pasco.
Tundu Lissu akichaguliwa kuwa Mwenyekiti Chadema, halafu 2025 akagombea urais... naomba nisimalizie.
P
 
Back
Top Bottom