Elections 2010 Mheshimiwa John Pombe Magufuli awe Rais wetu

Elections 2010 Mheshimiwa John Pombe Magufuli awe Rais wetu

........ si unakumbuka yaliyowapata kina Ceusesko kule Yugoslavia.

Ceasescu alikuwa kutoka Romania. Alikuwa dikteta mchapa kazi. Kama huyo Magufuli atakuwa kama yeye basi Tanzania tutakuwa tushaingia katika dunia ya kwanza!
 
Watanzania bwana! mtasifia hata visivyohitaji kusifiwa! Halafu mtu unamsifia mtu eti anafaa kuwa Rais bila hata kuweka data ya yapi aliyoyafanya hadi kustahili kuwa Rais wa Tanzania...Huyu Magufuli kama kweli ameweka mbele maslahi ya Tanzania si angekuwa mstari wa mbele kupinga kuuzwa nyumba za Serikali kwa bei ya kutupa na matokeo ya uuzaji wa nyumba hizo yameisababishia Serikali hasara ya $200. Kwa kuwalipia wafanyakazi waliostahili kupewa nyumba za Serikali gharama za mahoteli kwa miezi chungu nzima na wanene wa Serikali kuzikarabati nyumba hizo kwa mabilioni ya shilingi za walipa kodi kasha kujiuzia kwa bei ya kutupa. Si ndiye huyu huyu alihusika na kashfa ya samaki waliokamatwa katika meli za kigeni na yeye kulazimisha wahifadhiwe katika chumba cha baridi ambacho kilikuwa kinacharge gharama kubwa kwa siku na matokeo yake Serikali imelipa mabilioni ya shilingi kutokana na gharama hizo.

Kama kuna mazuri ya huyu bwana na yeye yuko ndani ya Serikali ya Kiwete ambayo Watanzania hawana imani nayo je ni mazuri gani hayo mnayoyazungumzia!? Yawekeni hapa basi ili na wengine tuyajue vinginevyo huyu naye ni fisadi tu kwa kushindwa kupinga uuzaji wa nyumba za Serikali uliopingwa na Watanzania wengi vikiwemo vyama vya upinzani, uuzaji wa nyumba ambao Mkapa aliupigia debe.
 
Watanzania bwana! mtasifia hata visivyohitaji kusifiwa! Halafu mtu unamsifia mtu eti anafaa kuwa Rais bila hata kuweka data ya yapi aliyoyafanya hadi kustahili kuwa Rais wa Tanzania...Huyu Magufuli kama kweli ameweka mbele maslahi ya Tanzania si angekuwa mstari wa mbele kupinga kuuzwa nyumba za Serikali kwa bei ya kutupa na matokeo ya uuzaji wa nyumba hizo yameisababishia Serikali hasara ya $200. Kwa kuwalipia wafanyakazi waliostahili kupewa nyumba za Serikali gharama za mahoteli kwa miezi chungu nzima na wanene wa Serikali kuzikarabati nyumba hizo kwa mabilioni ya shilingi za walipa kodi kasha kujiuzia kwa bei ya kutupa. Si ndiye huyu huyu alihusika na kashfa ya samaki waliokamatwa katika meli za kigeni na yeye kulazimisha wahifadhiwe katika chumba cha baridi ambacho kilikuwa kinacharge gharama kubwa kwa siku na matokeo yake Serikali imelipa mabilioni ya shilingi kutokana na gharama hizo.

Kama kuna mazuri ya huyu bwana na yeye yuko ndani ya Serikali ya Kiwete ambayo Watanzania hawana imani nayo je ni mazuri gani hayo mnayoyazungumzia!? Yawekeni hapa basi ili na wengine tuyajue vinginevyo huyu naye ni fisadi tu kwa kushindwa kupinga uuzaji wa nyumba za Serikali uliopingwa na Watanzania wengi vikiwemo vyama vya upinzani, uuzaji wa nyumba ambao Mkapa aliupigia debe.

.....and who do you think he may fits for this position?
 
.....and who do you think he may fits for this position?

Kwanini mnadhani rais lazima atoke ccm? watu walioko ccm si ndio hao hao, maana Kikwete kabla ya kuingia madaraka vijana wengi na jamii kubwa walikuwa na matumaini makubwa sana.

Nakumbuka first week baada ya kutangaza baraza la mawaziri alikuwa anatembelea wizarani kuwaeleza vision na matarajio ya wananchi kwa kila wizara, it was really convincing move..yet four years down the line..ameanza ku-bore hadi anafikia kutuambia wa Tanzania ni wadokozi .aagh! what a joke? eti kamuuliza mwenye hoteli? sample gani sasa ku-generalize kuwa ni Watanzania wote?

Magufuli, Kikwete, Mkapa, Malecela, mwakyembe, Makamba bado mnaona kuna tofauti basi mnajidanganya..tafuteni mtu nje ya system period!
 
huyu jamaa udhaifu wake ni mademu!halafu huwa hafichi!wasukuma wanapenda sana show-off!

alikuwa anakuja sana mabibo hostel kwa dem wake,tena na gari ina namba za waziri!wasukuma sometimes sio

LAKINI ANAFAA

Hapa naona umezidisha mkuu!
 
Kwanini mnadhani rais lazima atoke ccm? watu walioko ccm si ndio hao hao, maana Kikwete kabla ya kuingia madaraka vijana wengi na jamii kubwa walikuwa na matumaini makubwa sana.

Nakumbuka first week baada ya kutangaza baraza la mawaziri alikuwa anatembelea wizarani kuwaeleza vision na matarajio ya wananchi kwa kila wizara, it was really convincing move..yet four years down the line..ameanza ku-bore hadi anafikia kutuambia wa Tanzania ni wadokozi .aagh! what a joke? eti kamuuliza mwenye hoteli? sample gani sasa ku-generalize kuwa ni Watanzania wote?

Magufuli, Kikwete, Mkapa, Malecela, mwakyembe, Makamba bado mnaona kuna tofauti basi mnajidanganya..tafuteni mtu nje ya system period!

OMG,

Naona neema imefunguliwa hapa kwa mpendwa Tumaini..

Ninaanzisha wimbo..

Mwanzilishi: Neema neema neema imefunuliwa

Waitikiaji: Neema neema neema imefunuliwa

rudia hapo juu

x3

Mwanzilishi: Neema kwa vijana neema imefunuliwa

Waitikiaji: Neema neema neema imefunuliwa

Mwanzilishi: Neema kwa Tumaini neema imefunuliwa

Waitikiaji: Neema neema neema imefunuliwa

Rudia tena tokea juu
 
MKUU,
mimi nilikutana na msukuma kwenye shopping zetu za uswazi alinichosha pale aliposema:
NAOMBA NIUZIWE SHATI LA SH 50,000/=

Ha ha ha,

Nimecheka sana kujaribu ku-imagine msukuma (labda wa Maswa) akiingia dukani na kuagiza shati la sh 50,000/=.

Hata hivyo mkuu, huyo mmoja tu aliyefanya hivyo (kwa sababu zake binafsi) hawakilishi wasukuma wote. Au wewe unasemaje?
 
OMG,

Naona neema imefunguliwa hapa kwa mpendwa Tumaini..

Ninaanzisha wimbo..

Mwanzilishi: Neema neema neema imefunuliwa

Waitikiaji: Neema neema neema imefunuliwa

rudia hapo juu

x3

Mwanzilishi: Neema kwa vijana neema imefunuliwa

Waitikiaji: Neema neema neema imefunuliwa

Mwanzilishi: Neema kwa Tumaini neema imefunuliwa

Waitikiaji: Neema neema neema imefunuliwa

Rudia tena tokea juu
Bahati mbaya tu ni kwamba sim-support Mbowe
 
even me I think the only one is him!plz lets support him!!tribalism is not an obstacle so even if he is sukuma but he can me a good leader mbona huko mawizarani hakuuingiza huo usukuma??jamaa kweli ameonyesha uwezo mkubwa sana nakuunga mkono ndugu yangu mie sio msukuma ila ni mhehe lakini nafurahishwa sana na utendaji wake wa kazi ni mfano bora kwa kila kiongozi uzuri yeye huwa anaenda na data na anavyoelezea kitu anakuwa anakijua habahatishi kama vihiyo wengine!
 
Magufuli yupi? huyu aliegawa nyumba za serikali kwa wadogo zake na aliehonga mahawala?!

Hapa huna ushahidi unaropoka tu leta ushahidi kuhusu hizo accusations zako

Au Magufuli alie hifadhi samaki kwa milioni 100 kwa mwezi na kuishia kuwagawa bure?!
Kesi ikifanyika kwa haki mwenye meli atatakiwa kulipa gharama zote za uendeshaji wa kesi zikiwamo hizo bilioni za uhifadhi wa samaki.

Wakati mnaendelea na spinning zenu na hatimae kumuingiza Ikulu nie nahangaikia taratibu za kupata uraia wa Cambodia!
afadhali uwe mkamdodia kwani watu kama ninyi ndio mnaowakabidhi nchi mafisadi!
 
Kwanini mnadhani rais lazima atoke ccm? watu walioko ccm si ndio hao hao, maana Kikwete kabla ya kuingia madaraka vijana wengi na jamii kubwa walikuwa na matumaini makubwa sana.

Nakumbuka first week baada ya kutangaza baraza la mawaziri alikuwa anatembelea wizarani kuwaeleza vision na matarajio ya wananchi kwa kila wizara, it was really convincing move..yet four years down the line..ameanza ku-bore hadi anafikia kutuambia wa Tanzania ni wadokozi .aagh! what a joke? eti kamuuliza mwenye hoteli? sample gani sasa ku-generalize kuwa ni Watanzania wote?

Magufuli, Kikwete, Mkapa, Malecela, mwakyembe, Makamba bado mnaona kuna tofauti basi mnajidanganya..tafuteni mtu nje ya system period!

Tumaini that is my Motto, kuwa hakuna msafi CCM! kadiri siku za uchaguzi zinapokaribia ndio utawajua kwa matendo yao!

But I am sick ni kuwa nilifikiri basi kama kuna mtu anampinga Magufulia anatoa alternative! siyo lazima CCM hata Chadema, CUF n.k
 
Back
Top Bottom